Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh ndugu 😆😆Mbowe ana master's degree Tena ya uingereza
Mmeshamgeuka tayari [emoji1787]Msando huyu huyu wa Chadema?
Nauliza tu bwasheeMmeshamgeuka tayari [emoji1787]
Msando ni wa Ccm. Kumbe hata huwajui wanachama wenzio kindakindaki kama alberto mdangaji wa aliyekuwa Hayati MagufuliMsando huyu huyu wa Chadema?
Tatizo Msando haaminiki. na angepata huo urais Wangemtambua. Usomi na uaminifu ni vitu viwili tofautiHakupita kura za maoni ubunge.
Hajapita na hapa.
Ningekua yeye ningefocus kutengeneza misingi miongoni mwa wenza wangu kitaaluma na kichama badala ya kutegemea aggressive advertising inipe kura.
People underestimate the power of social media......alifanya akijua itaishia vile vile....itamtafuna maisha yake yote....amuulize yule binti wa SAUT picha zake zilivuja mwanzoni mwa 2010s inavyomtafuna mpaka leoMsando is a good chap, na angeshinda Ila Ile clip ya yeye kupima oil kwenye gari ndio ilimtoa kwenye reli.
Watu hawapimii oil mbele ya camera, hayo mambo yanafanywa ndani ya Noah tinted mlimani city.
Hakuna kitu hapo
Amekuwa endorsed na baadhi ya wanachama wa Chadema ( kitu kilicho nishangaza). Catherine Ruge na wengine walim endorse Flaviana. Chadema haikum endorse mtu yeyote.Chadema wakiku endorse lazima ushinde..
Hongera Dr Hosea