Mbona ilishafahamika hiyo kwani chama chakavu hakina jipya.
Sasa kama chama "think tank" wake ni Makonda. Hiko chama au ushuzi.Muda Mrefu Watu Walikuwa Wanajua Wameleta Pombe Aina Ya Kangara
Chama Kimepoteza Uelekeo Haraka SanaHakuna jipya ilijulikana mapema tu
Sasa kama kamchagua makonda itashindikana Nchimbi? Chama cha Mafisi hakuna watu wa maana mzee zaidi ya Chawa tu hawa Akina ChoiceVariable Lucas mwashambwa na Ritz japo yeye baada ya kipigo cha HAMAS kule Gaza akili imemshuka.Mama Samia sidhani kama atamkubali huyu Nchimbi, sbb ni nyingi sana, kwa wale CCM wakongwe tunajua
π₯π₯Sasa kama kamchagua makonda itashindikana Nchimbi? Chama cha Mafisi hakuna watu wa maana mzee zaidi ya Chawa tu hawa Akina ChoiceVariable Lucas mwashambwa na Ritz japo yeye baada ya kipigo cha HAMAS kule Gaza akili imemshuka.
Confirmedπ΄ BREAKING NEWS
Katibu Mkuu mpya wa CCM ni Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi
Hizi ni taarifa za sasa hivi kutoka kwa wajumbe wa NEC hapa Zanzibar
View: https://x.com/MfanyakaziNews/status/1746832796897751159?t=MqB2G4TIxMifXg8nrnPELg&s=08
Chama Kimepoteza Uelekeo Haraka Sana
Timu JIWE mwisho wenu ushafika.Safi sana
Tuna Imani na Dr Nchimbi
si bure, Mwenyekiti wetu kashinikizwa - hatukubali.Nchimbi Oyeeeee ππ₯
Lilikua wazi wapi?Hili lilikiwa wazi.