Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesema chama hicho hakina sababu ya kutumia lugha ya kebehi na matusi kutokana na utekelezaji mkubwa wa miradi uliofanywa na serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Balozi Dkt. Nchimbi ametoa kauli hiyo jijini Dodoma alipokuwa akipokelewa na Jumuiya ya Wazazi ya CCM Taifa ili kushiriki kikao cha Kamati ya Utekelezaji ya Taifa ya jumuiya hiyo.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesema chama hicho hakina sababu ya kutumia lugha ya kebehi na matusi kutokana na utekelezaji mkubwa wa miradi uliofanywa na serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Balozi Dkt. Nchimbi ametoa kauli hiyo jijini Dodoma alipokuwa akipokelewa na Jumuiya ya Wazazi ya CCM Taifa ili kushiriki kikao cha Kamati ya Utekelezaji ya Taifa ya jumuiya hiyo.
Amesema chama kitaendelea kuwa mfano kwa kuheshimu binadamu na kusisitiza sera zinazolenga maendeleo ya nchi na ustawi wa Watanzania.
Ustaarabu usioambatana na political tolerance sio ustaarabu. CCM watastaarabika watakapotambua kwamba Hangaya sio malaika hata kidogo, bali ni binadamu anayekosea kila siku na anayeweza kukosolewa kama binadamu mwingine yeyote!
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesema chama hicho hakina sababu ya kutumia lugha ya kebehi na matusi kutokana na utekelezaji mkubwa wa miradi uliofanywa na serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Balozi Dkt. Nchimbi ametoa kauli hiyo jijini Dodoma alipokuwa akipokelewa na Jumuiya ya Wazazi ya CCM Taifa ili kushiriki kikao cha Kamati ya Utekelezaji ya Taifa ya jumuiya hiyo.
..umewahi kuona Katibu Mkuu wa chama ambaye pia ni mgombea?
..ili kupewa fomu ya kugombea katika CCM unatakiwa upitie kwa Katibu Mkuu wa chama.
..Dr.Mchimbi amewekwa hapo mahsusi ili kuzuiya yeyote atakayejaribu kuchukua fomu za kugombea Uraisi kupitia CCM.
..pia nimesikia kwamba amepachikwa hapo kwasababu ni Mkatoliki kwa mategemeo atawafanya Maaskofu waiunge mkono CCM.
..lakini watu wanajiuliza ktk wanasiasa wote nchi hii nani amewahi kuwafikiria au kutamani Samia Suluhu, au Emmanuel Nchimbi, wawe Maraisi wa Tanzania?
..Katika utumishi wao katika nafasi mbalimbali wamewahi kufanya jambo gani lililoacha alama, au la kupigiwa mfano?
..umewahi kuona Katibu Mkuu wa chama ambaye pia ni mgombea?
..ili kupewa fomu ya kugombea katika CCM unatakiwa upitie kwa Katibu Mkuu wa chama.
..Dr.Mchimbi amewekwa hapo mahsusi ili kuzuiya yeyote atakayejaribu kuchukua fomu za kugombea Uraisi kupitia CCM.
..pia nimesikia kwamba amepachikwa hapo kwasababu ni Mkatoliki kwa mategemeo atawafanya Maaskofu waiunge mkono CCM.
..lakini watu wanajiuliza ktk wanasiasa wote nchi hii nani amewahi kuwafikiria au kutamani Samia Suluhu, au Emmanuel Nchimbi, wawe Maraisi wa Tanzania?
..Katika utumishi wao katika nafasi mbalimbali wamewahi kufanya jambo gani lililoacha alama, au la kupigiwa mfano?
Hahaha CCM huwa ni Mbele kwa Mbele. Ukitaka Alama waulize wananchi wanopigwa na FFU kila siku, Alama gani utaipata kwa watawala wa CC zaidi ya makovu ya wananchi kutoka kwa majeshi ya ccm.
Wao wanataka tuamini kwamba pesa za serikali ni mali ya CCM, na hata mikopo na misaada ya Taifa pia ni mali ya CCM, na kwa imani hiyo basi tukubali waendelee kutawala na kama hatutaki tunalazimishwa kukubali.
Wameshasema hakuna wa kuwatoa madarakani kwa namna yoyote ile, sasa unategemea nini, hata Nchimbi asingezuia Form bado hakuna mwenye uthubutu kwenda kuchukua form, utaulizwa form gani ya nini, utapewa na nani, utairudisha wapi ili iweje?
Maana Kamati kuu ya CCM waliishakaa wakamaliza, utawaita vipi wajadili hoja iliyo kwisha jadiliwa na kufikiwa maamuzi?
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesema chama hicho hakina sababu ya kutumia lugha ya kebehi na matusi kutokana na utekelezaji mkubwa wa miradi uliofanywa na serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Balozi Dkt. Nchimbi ametoa kauli hiyo jijini Dodoma alipokuwa akipokelewa na Jumuiya ya Wazazi ya CCM Taifa ili kushiriki kikao cha Kamati ya Utekelezaji ya Taifa ya jumuiya hiyo.