Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Wakuu Mambo mengi muda ni mchache
Mnamo August 11 tulielezwa na vyombo rasmi kwamba Rais Samia amemteua Balozi meja Jenerali Makanzo kuwa Balozi wa Tanzania nchini Misri.
Taarifa iliongeza kuwa Meja Jenerali anachukua nafasi ya Dkt. Emmanuel Nchimbi ambaye anarejea nyumban.
Sasa naomba kujua nini kilitokea mpaka Dkt. Nchimbi ameendelea kubaki Misri? na Balozi Makanzo yupo wapi?
Mnamo August 11 tulielezwa na vyombo rasmi kwamba Rais Samia amemteua Balozi meja Jenerali Makanzo kuwa Balozi wa Tanzania nchini Misri.
Taarifa iliongeza kuwa Meja Jenerali anachukua nafasi ya Dkt. Emmanuel Nchimbi ambaye anarejea nyumban.
Sasa naomba kujua nini kilitokea mpaka Dkt. Nchimbi ameendelea kubaki Misri? na Balozi Makanzo yupo wapi?
