Peter Dafi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 392
- 272
Kweli kabisaVyama vya siasa vitambue kuwa dhamira ya Mazungumzo lazima iakisi pande zote, lazima iakisi ndani ya CCM na vyama vingine vya siasa, na wadau...
Chuma kimeanza kaziKatibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Nchimbi akizungumza na Wanachama na Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaan Leo amesema.
Mkiwaona CHADEMA wana Andamana Mjue wameamua kutumia Miguu Kufikiri Badala ya Akili/Ubongo.
View: https://www.instagram.com/reel/C2UvdMwtYtD/?igsh=ZWNpZmN3OW8wdHJq
AMEANZA VIBAYA! Bon Mayai na Martin Maranja Masese, eti tupe shule yake tuone PhD koje. Nadhani na yeye yuko kwenye lile kundi la mafisadi wa elimu alioataja Kainerugaba Msemakweli katika kitabu cha mafisadi wa elimuKatibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Nchimbi akizungumza na Wanachama na Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaan Leo amesema.
Mkiwaona CHADEMA wana Andamana Mjue wameamua kutumia Miguu Kufikiri Badala ya Akili/Ubongo.
View: https://www.instagram.com/reel/C2UvdMwtYtD/?igsh=ZWNpZmN3OW8wdHJq
kwa picha hizi kama hao jamaa ni watanzania, hakika ccm haifai kuendelea kutawala.Kweli kabisa, na hawa jamaa miguu yao ina machacha a.k.a magaga, kwa hiyo hali inazidi kuwa mbaya zaidi.
Picha hapa chini ni chadema wakiwa katika mchakato wa kufikiri.
View attachment 2877491View attachment 2877495
Na watakao washangaa Chadema kutumia haki yao ya kikatiba kuandamana basi mjue hao wanatumia matako kufikiriKatibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Nchimbi akizungumza na Wanachama na Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaan Leo amesema.
Mkiwaona CHADEMA wana Andamana Mjue wameamua kutumia Miguu Kufikiri Badala ya Akili/Ubongo.
View: https://www.instagram.com/reel/C2UvdMwtYtD/?igsh=ZWNpZmN3OW8wdHJq
Bado hujasemaNa watakao washangaa Chadema kutumia haki yao ya kikatiba kuandamana basi mjue hao wanatumia matako kufikiri
Mambo ya 4R ayo!!Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Nchimbi akizungumza na Wanachama na Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaan Leo amesema.
Mkiwaona CHADEMA wana Andamana Mjue wameamua kutumia Miguu Kufikiri Badala ya Akili/Ubongo.
View: https://www.instagram.com/reel/C2UvdMwtYtD/?igsh=ZWNpZmN3OW8wdHJq
Matapeli ya Lumumba ndiyo yanafikiri kwa kutumia miguu. Huwezi kuuza rasilimali zote za nchi ukiwa na ubongo Sawa. Miradi yote ya kimkakati imekwama Yana akili kweli haya.? Yameuza bandari,yana akili kweli haya? Meli ya mwanza yameshindwa kukamilisha kwa wakati,Yana akili kweli haya?yameuza gesi,madini na hifadhi zetu,Yana akili kweli haya? Umeme mgawo kila siku,Yana akili kweli haya? Ni matapeli na mindevu Yao.Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Nchimbi akizungumza na Wanachama na Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaan Leo amesema.
Mkiwaona CHADEMA wana Andamana Mjue wameamua kutumia Miguu Kufikiri Badala ya Akili/Ubongo.
View: https://www.instagram.com/reel/C2UvdMwtYtD/?igsh=ZWNpZmN3OW8wdHJq
Duh..Vyama vya siasa vitambue kuwa dhamira ya Mazungumzo lazima iakisi pande zote, lazima iakisi ndani ya CCM na vyama vingine vya siasa, na wadau.
Kususia mazungumzo na kukwepa mazungumzo siyo ujasiri, kukimbia mazungumzo na kutaka kukwepa mazungumzo ni dalili ya uoga. Kutaka kukimbilia maandamano ni dalili ya uoga. Hoja zinajengwa kwa mdomo hazijengwi kwa miguu, hoja hazijengwi kwa maandamano.
Wakitaka kuandamana sawa sawa, hatuwezi kuwapima kwa kasi ya miguu yao, tutawapima kwa hoja zao. Vyama vya siasa lazima vijitofautishe na mashindano ya urembo, maana kwenye mashindano ya urembo tunapimana na kasi unaendaje, una staili ya kutembea.
View attachment 2877454
Tena kawaheshimu sana, wahuni wa JF wana neno lao wangetumia.Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Nchimbi akizungumza na Wanachama na Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaan Leo amesema.
Mkiwaona CHADEMA wana Andamana Mjue wameamua kutumia Miguu Kufikiri Badala ya Akili/Ubongo.
View: https://www.instagram.com/reel/C2UvdMwtYtD/?igsh=ZWNpZmN3OW8wdHJq
Hii chama hii, kila anaingia kwenye sub, anazidi kubariki kivyo cha chama,Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Nchimbi akizungumza na Wanachama na Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaan Leo amesema.
Mkiwaona CHADEMA wana Andamana Mjue wameamua kutumia Miguu Kufikiri Badala ya Akili/Ubongo.
View: https://www.instagram.com/reel/C2UvdMwtYtD/?igsh=ZWNpZmN3OW8wdHJq
Nilifikiri Kakakuona ili nitafute dili kwa wachinaKweli kabisa, na hawa jamaa miguu yao ina machacha a.k.a magaga, kwa hiyo hali inazidi kuwa mbaya zaidi.
Picha hapa chini ni chadema wakiwa katika mchakato wa kufikiri.
View attachment 2877491View attachment 2877495