Sega la asali
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 1,153
- 2,700
Halinaga akili nakumbula alipokuwa waziri ni debe tupuKatibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Nchimbi akizungumza na Wanachama na Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaan Leo amesema.
Mkiwaona CHADEMA wana Andamana Mjue wameamua kutumia Miguu Kufikiri Badala ya Akili/Ubongo.
View: https://www.instagram.com/reel/C2UvdMwtYtD/?igsh=ZWNpZmN3OW8wdHJq
MakalioMiaka 60 ya uhuru hawajawahi kumaliza ujenzi wa miundombinu ukilinganisha na mkoloni aliyejenga reli Hadi Leo unatumika.
Wanatumia nini kufikiri?
Hiyo hiyo itawaanzishia timbwiri hadi kijani iwe purple π .rangi ya Yule mchumia kitovu .nya..............fKatibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Nchimbi akizungumza na Wanachama na Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaan Leo amesema.
Mkiwaona CHADEMA wana Andamana Mjue wameamua kutumia Miguu Kufikiri Badala ya Akili/Ubongo.
View: https://www.instagram.com/reel/C2UvdMwtYtD/?igsh=ZWNpZmN3OW8wdHJq
kama hoja za CHADEMA wanaofikiri kwa miguu ndiyo hizi, halafu za CCM wanaofikiri kwa vichwa mdiyo hizi, nasi Mungu ni vyema Mungu akaibariki Tanzania kwa kuipatia watu wenye miguu bila vichwa.Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Nchimbi akizungumza na Wanachama na Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaan Leo amesema.
Mkiwaona CHADEMA wana Andamana Mjue wameamua kutumia Miguu Kufikiri Badala ya Akili/Ubongo.
View: https://www.instagram.com/reel/C2UvdMwtYtD/?igsh=ZWNpZmN3OW8wdHJq
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Nchimbi akizungumza na Wanachama na Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaan Leo amesema.
Mkiwaona CHADEMA wana Andamana Mjue wameamua kutumia Miguu Kufikiri Badala ya Akili/Ubongo.
View: https://www.instagram.com/reel/C2UvdMwtYtD/?igsh=ZWNpZmN3OW8wdHJq
ππ€£ππππ€£π€£πππππππKatibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Nchimbi akizungumza na Wanachama na Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaan Leo amesema.
Mkiwaona CHADEMA wana Andamana Mjue wameamua kutumia Miguu Kufikiri Badala ya Akili/Ubongo.
View: https://www.instagram.com/reel/C2UvdMwtYtD/?igsh=ZWNpZmN3OW8wdHJq
Kabisa, yaani wamechanganyikiwahuku Dr.Nchimbi kule Makonda,hii ni kukimbiza mwizi kimyakimya.
Have you ever tried to advise ccm with this opinion? It's like when president Mugabe was asked by BBC journalistWhen the by laws where being presented at the Parliament why didn't the oppose there on the spot!?
I think rather than focusing on past aspects, the so called opposition party should focus on what can they can to improve our country etc..
Watakaowashangaa Chadema kutumia haki yao ya kikatiba kuandamana ujue wanatumia matako kufikiriT
Tena kawaheshimu sana, wahuni wa JF wana neno lao wangetumia.