TANZIA Dkt. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia

Pole sana Kwa ndugu na Watanzania.R.I.P bwana Ndungulile
 
Kaka Faustine jamani, yaani huu msiba mwenzenu umenivuruga. Ni family friend. Nashindwa nampigia simu dada yake kumpa pole au naenda uwiii.
Hii familia wana roho nzuri, pamoja kuwa na pesa ila wana upendo sana. Vizuri havidumu 😭
Ulale mahala pema, peponi Kaka Faustine. Dah hee!!!
 
Ugonjwa wa mtu ni Siri kati yake na wanaomtibia.

RIP the big boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…