TANZIA Dkt. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia

Poleni sana.

Dr. Ndugulile nilimjua one on one kwenye mikutano ya kuchagiza The Fourth Industrial Revolution Tanzania wakati alivyokuwa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia kati ya mwaka 2020 na 2021.

Nilipata kujua kuwa ana utofauti fulani na viongozi wengi, kwa kuwa alikuwa anajitahidi sana kupata maoni ya watu, kujifunza mambo mapya, kuwaweka karibu wadau wa sekta ya teknolojia na hata kuwafanya wadau ni sehemu rasmi ya kushauri policy makers.

Alianzisha mipango mizuri sana ya kuchukua maoni ya wadau kwenye mambo mapya kama Blockchain Technology na Crypto Currency.

Kwa bahati mbaya alivyoondolewa kwenye hiyo wizara, na zile outreachs zote zikaisha. Hapo ndipo wadau tukaona pengo la Dr. Ndugulile.

RIP.
 
Tunazidi kujifunza hakuna binadamu special.

Sote tutaondoka DUNIA...Nina kifua na mafua week mbili Sasa mpaka naanza kuogopa nabanja inabidi nitake serious measure.

All in all,
Kama Taifa Tumempoteza mtu SMART Sana very humble, mtu wa watu mtu makini Sanaa Dr. Faustine.

Rest easy brother.
 
Kuna muda nakumbuka aliorganize ile zoom meeting kujadili mambo ye tech nadhan na kuhusu blockchain pia. Angeachwa kwenye hio wizara kwa muda mrefu kdg tungepata revolution kubwa sana, ndio hivyo tu hizi wizara zetu sio taasisi, hamna mipango ya muda mrefu bali kila anaeingia anakuana plan yake badala ya kuwa msimamizi wa mipango ya muda mrefu
 
sumu huua taratibu.DAB
 

Poleni sana wafiwa wote. RIEP Dr. Faustine. Long ago we met ulipokuwa unasoma. Sikujua kama ungechagua political path one day.

Sad that you have gone at the pinnacle of your career. It is something that we all have nothing about to make a decision. When death comes, hakuna namna tunaweza kukwepa. Hata siku ya kupiga kura, kifo kinaweza kuja tu.

Death, as it is, is one of the ultimate and powerful tool which make all the creatures of the world, equal and the same.
 
Watu makini wameondoka na mwezi November. Lokole, Mengele na others alike wana dunda tu
 
Makonda ana dawa, anyway, alitolewa kwenye uwaziri kwa sababu ya frequent trips za kwenda India kwa matibabu.

R. I. P, kigamboni imepoteza
Kigamboni imepoteza nini!? Hatujapoteza chochote, marehemu ni mtu tu kama wengine, huku kigamboni kila siku wanakufa watu, tunazika kila siku ziendazo kwa mungu.
Nafasi yake atapatikana mwingine..
Yale mema aliyofanya atakumbukwa kwa mema hayo na alipokosea waliobaki duniani wamsamehe, binadamu sote mwisho wetu ni mmoja
Tuishi kwa wema tutende mema, tusiishi kama hapa duniani tutabaki daima

Kila nafsi ITAONJA umauti.
 
Sad truth!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…