TANZIA Dkt. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia

Hivi Huwa Kuna nini!?nyuso za Hawa wakuu Huwa kama Zimefanyiwa plastic surgery vile!!?

Yaani USO kama umewekewa puto fulani hivi!!?

Mbona juzi mafuru Leo huyu jamaa!!

Mbona wanaenda huko kwa kasi!!?
 
Kama jimbo ameshasema ataliachia mwezi February 2025 atakapokwenda kuanza rasmi majukumu yake mapya huko WHO lakini nafikiri kuna jitu limeona huko ni mbali sana!
Naomba unikumbushe ali-compete na nani 2020 na tofauti yao ya kura ilikuwaje??

Je huyo ali-compete naye yuko katika position ya kugombea????
 
NINI SABABU YA KIFO CHA KAKA YETU DKT FAUSTINE?
 
Naomba unikumbushe ali-compete na nani 2020 na tofauti yao ya kura ilikuwaje??

Je huyo ali-compete naye yuko katika position ya kugombea????
2020 UCHAGUZI ULIVURUGUWA NA SHUJAA KWA KIFUPI ULIKUWA BATILI
 
Hapo JKCI/MNH ina maana wanacheza cheza tu, maana wakubwa wote wanaenda India na kurudi kama cargo.
Hapana Jkci wakishindwa ujue hiyo tayari imeshakuwa ni safari ya one way ticket !
Huko India ni kwenda kujaribu bahati tu ! πŸ™

After all kufa ni lazima sote tutakufa hata wale mahodari wa kudhalilisha wengine nao watakufa tu !
Hata wale wenye kutanguliza wengine nao watakufa tu tena ni baada ya kuteseka sana mu Dunia ndipo watakapotwaliwa πŸ™ !
 
Naomba unikumbushe ali-compete na nani 2020 na tofauti yao ya kura ilikuwaje??

Je huyo ali-compete naye yuko katika position ya kugombea????
Huyo unayetaka nimtaje siwezi kufanya hivyo maana itakuwa ni kama namfanyia promo wewe endelea tu kuwa chawa wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…