TANZIA Dkt. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia

Badala ya kufa wale chawa wa Magufuli ambao aliwaingiza Bungeni kiwiziwizi kama Tulia Ackson, MwanaFatuma, Gwajima, na lile li_chura eti anakufa Ndugulile aliyekataa kuwa chawa wa dikteta magu! Sio Fair.
 
So sad.
Rest in peace brother.
 
Huyu mheshimiwa yawezekana alifariki siku kadhaa huko nyuma, ila kwa mambo ya siasa wameamua kutuchanganya juu kwa juu na jambo la leo.

Kwamba wakifanya yao akili za watanzania ziwe kwa marehemu.
Nalo hili neno ila kama ni ma CCM liwe CCM zuri au CCM bay acha yote Yaishe Yani yafe kama utitiri pumbavu
 
Baelezee Baelewee hasa hii mijitu ya Joka la Kijani inayodhani Mungu Yuko Vacation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…