TANZIA Dkt. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia

1. Kama Mwana-Kigamboni na mlipa kodi. Nahitaji kujua nini kimesababisha kifo cha Mbunge wetu wa Jimbo la Kigamboni huko India?

2. Chanzo cha kifo hakitajwi popote. Si kwenye tangazo la kifo wala salamu za rambirambi.
ni kifo cha kawaida kwa mwanadamu yeyote,

Bwana ailitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.

Tumshukuru Mungu kwa Kila jambo ndrugu zango 🐒
 
"Jibu linapatikana kwa kusove Bernoulli's equation "

"integrating Newton's second law of motion or by applying the law of conservation of energy, ignoring viscosity, compressibility, and thermal effects."
 
Jamaa walikuwa na madini na maneno makali...halafu kwa mbali ni kama tayari GMO iliishaanza kustukiwa ...lakini hatukustuka!
 
Umuofia kwenu!
Umuofia ya
 
1. Kama Mwana-Kigamboni na mlipa kodi. Nahitaji kujua nini kimesababisha kifo cha Mbunge wetu wa Jimbo la Kigamboni huko India?

2. Chanzo cha kifo hakitajwi popote. Si kwenye tangazo la kifo wala salamu za rambirambi.
Sio kila magonjwa huwa yanatajwa.Mengine hayatakusaidia kitu.Cha muhimu ni kumshukuru Mungu kwa maisha yake.
 
Igwee,,,they know it well. He who swallows a coconut,has undivided trust on his anus... Omofia kwenu!

,
Nimelazimika kukitafuta...nipo ukurasa wa kumi na nane, Okonkwo kaja na kijana na Binti kutoka Kijiji kilichofanya umafia wa kumuua Mke wa Ogbuiefi!! Waliletwa Umuofia kuzuia vitA!!! Okonkwo akabidhiwa kijana huyo jina ni Ikemefuna, mwaka wa Tatu Sasa anaishi na kijana huyo kwenye familia yake. Itaendelea...!
 
Igweeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…