Anafaa yupi?Huyu hafai
Japo siipendi ccm lakini usichokijua huyu jamaa anakuwa tested na system makusudi for higher positions.Huyu hafai
Unamaanisha anaandaliwa kuwa nani??Japo siipendi ccm lakini usichokijua huyu jamaa anakuwa tested na system makusudi for higher positions.
Hadi unaweza kusema ana gundu, kila anapopelekwa Ndugulile ni lazima atenguliwe 🐒Japo siipendi ccm lakini usichokijua huyu jamaa anakuwa tested na system makusudi for higher positions.
Ingia inbox JF.. Wanasemagaje hapa eti?Unamaanisha anaandaliwa kuwa nani??
Mtaalam toa sababu,wewe ni great thinker.Huyu hafai
Daktari anapewa idara ya sheria na mwanasheria anapewa idara ya afya.MHE.NDUGULILE (MB) ATEULIWA KAMATI YA SHERIA NDOGO NA MASUALA YA UKIMWI
Mbunge wa Kigamboni Mhe.Faustine Ndugulile Leo Oktoba 09,2021 amekuwa sehemu ya walioteuliwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai ambapo ameteuliwa kuwa Mjumbe kwenye Kamati ya Sheria Ndogo na Kamati ya Masuala ya UKIMWI katika Kamati za Kudumu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
@faustine_ndugulile
#KaziIendelee
View attachment 1970870
Bongo jina tuu.Hatutumii ubongo.Daktari anapewa idara ya sheria na mwanasheria anapewa idara ya afya.
Hii nchi hii!
Kwa Daktari na kamati ya Ukimwi, sawa kabisa.MHE.NDUGULILE (MB) ATEULIWA KAMATI YA SHERIA NDOGO NA MASUALA YA UKIMWI
Mbunge wa Kigamboni Mhe.Faustine Ndugulile Leo Oktoba 09,2021 amekuwa sehemu ya walioteuliwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai ambapo ameteuliwa kuwa Mjumbe kwenye Kamati ya Sheria Ndogo na Kamati ya Masuala ya UKIMWI katika Kamati za Kudumu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
@faustine_ndugulile
#KaziIendelee
View attachment 1970870