Kwa waliofanikiwa kusoma UDSM miaka ya elfu mbili na kuendelea na kwa waliosoma UDOM pia miaka hii ya karibuni Idara ya physics nadhani jina hili sio geni kwao, DKT. TYILIA Hatunae duniani.
Alipendelea kufundisha course za Electronics na Instrumentation physics.
Alale pema peponi
Amen.View attachment 2067096
TYILIA
Asante kunirekebisha
Vip unamfahamu mkuu?
Namna alivyokua akikata nyanga pale Nkrumah Kama The Jackal yaani ana-vibrate Kona Hadi Kona. Sikuwahi kumuelewa hata sentensi mojaKwanini walimuita hivyo mkuu?
Hata ku copy Jina kuna kushindaKwa waliofanikiwa kusoma UDSM miaka ya elfu mbili na kuendelea na kwa waliosoma UDOM pia miaka hii ya karibuni Idara ya physics nadhani jina hili sio geni kwao, DKT. TYILIA Hatunae duniani.
Alipendelea kufundisha course za Electronics na Instrumentation physics.
Alale pema peponi
Amen.View attachment 2067096
R.i.p..ameacha kumbukumbu/ugunduzi gani kwa taifa kama msomiKwa waliofanikiwa kusoma UDSM miaka ya elfu mbili na kuendelea na kwa waliosoma UDOM pia miaka hii ya karibuni Idara ya physics nadhani jina hili sio geni kwao, DKT. TYILIA Hatunae duniani.
Alipendelea kufundisha course za Electronics na Instrumentation physics.
Alale pema peponi
Amen.View attachment 2067096