Sasa amekuwa mwanasiasa...chawa pro max etc...amesahau aliemtendea..huwa hasahau...!! ...kisa cha mla kunde....mtupa magandaUkiona mwanamke anajitapa sana mitandaoni kwamba mimi na mfanyie vizuri sana mumewangu, mimi ni mama bora mara namheshimi mume wangu, jua hilo ni garasa tu tupu
Unavuruga presentetion na assigment yooote jaama yangu wewe.Dr Doroth naamini sasa umekuwa mama mwema na bora....
Hutamnasa vibao vile tena.....back 2003.......siku hazigandiiii.....Amen
Ukiona nyani Mzee, ujue kakwepa mishale mingiOoh jamaa alikua anachezea vibao tena😀😀
Auuuu basii ukute Mr Gwaji amefurahi kusemewa...maana kinamuuma au basiiiiiUnavuruga presentetion na assigment yooote jaama yangu wewe.
Jua ni Kali sana dar 🤣Ukiona mwanamke anajitapa sana mitandaoni kwamba mimi na mfanyie vizuri sana mumewangu, mimi ni mama bora mara namheshimi mume wangu, jua hilo ni garasa tu tupu
Mstiri yule mama nampenda sana mimi binafsi.Auuuu basii ukute Mr Gwaji amefurahi kusemewa...maana kinamuuma au basiiiii
Au basiiiiiMstiri yule mama nampenda sana mimi binafsi.
Amshauri na bosi wake naye aringe na mume wake"Kokote alipo Laazizi wangu Advocate Gwajima
anisikie yeye ndiyo injinia wangu na saa kumi na mbili asubuhi kashanipigia simu na tumezungumza yanayotuhusu na ratiba zake nazijua na yeye zangu anazijua na najua watoto wangu wapo wapi.
Mume wangu kaona vipaji vyangu na mimi nimeona vyake tukashirikiana na kusaidiana, sina haja ya kuringa sababu mimi Waziri na yeye sio waziri.
Nikiwa nyumbani mimi ni Mama Vicky na navaa kitenge changu" Mhe. Dkt Dorothy Gwajima ni waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
View attachment 3261039
Na iwe basi bwana weeee hujui kofi la mpenzi haliumi nawe.Au basiiiii
Aisee, makofi ya kimahaba siyo mbaya.Dr Doroth naamini sasa umekuwa mama mwema na bora....
Hutamnasa vibao vile tena.....back 2003.......siku hazigandiiii.....Amen
Sisemi tena..ila njaa mbaya sana...sikieni tuu...sasa nyumba ina neema hata kama G Boy haleti okoto atachekewa tuuu....hataitwa kilazaaaaaAisee, makofi ya kimahaba siyo mbaya.