Dkt. Hamis Kigwangalla: Msimamo wangu kuhusu tiba ya Corona

Hivi kumbe Kigwangala nae ni mbobezi?

Sentensi ya mwisho imenistua sana jamani

Hii nchi jaman mtuache tupumue aiseh
Tukikumbatia PROFESSIONALISM tutaheshimika sana sasa Mh. anaonekana alikuwa kumbe hakubaliani na falsafa za Mzee ila akamsupport hivyo hivyo lakini sio yeye tuu wengi wetu tulipuliza vuvuzela ili hali moyoni tukiwa tunajisuta.

Ili kuepuka haya ni vyema tukawa na taasisi imara ambazo viongozi wetu watawajibika kwazo ila kwa mwendo huu tutakuwa wanafiki mpaka mwisho kwa kutumia surviving plans.
 
Fear mongers and black pillers.....siku takribani 20 zilizopita kuna watu walisema matokeo ya mirundikano ile tutaiona baada ya two weeks..Tunaelekea wiki ya tatu sasa,where are the body bags? Tusiombeane mabaya nchi hii... I suspect hii nchi imeshafika herd immunity bila kujua. Hio kamati ya huku ianze kwanza kuchukua sampuli ya watu hapa nchini na kuwacheki antibody load za CoviD ndo tutapata hali halisi ya nchi hii. waTanzania hata maana ya anaphylaxis hatujui tunakimbilia kupigwa tu chanjo. Vaccines especially these are never allowed to be scrutinized in the public square...Wonder why? Juzi nilikua namsikiliza Dr Lean Wen wa waMarekani akiwa CNN ,alijisahau na akasema the quiet part out loud,alisema they shouldn't allow parts of America to be fully reopened without being fully vaccinated,b'se they will reach herd immunity and fail to attribute any resulting low CoVid cases to sufficient vaccinations in those areas.Akaiomba administration ya Bw Biden isiruhusu hizo states kufunguliwa... We r still playing checkers,wenzetu wanacheza chess
 
Nilipofika kwenye kuvaa barakoa na social distancing sikutaka kuendelea zaidi.He is either already compromized or he does not know what is going on.Namshauri atafute taarifa za kisayansi kuhusi athari za kuvaa barakoa na ku-practice social distancing.Kama hazijui,which is likely kwa kuwa anashauri watu wavae barakoa na wa-observe social distancing,basi hajafuzu udaktari!Barakoa na Social distancing ni both social engineering and genocide tools.

Namshauri pia atafute taarifa za kitaalamu zaidi kuhusu chanjo.Hakuna chanjo nzuri,zote zina side effects.Na kwa vile hazikuwahi kufanyiwa utafiti wa kutosha,I must admit that we will never know their long term effects on humanity.

Hivi Kigwangwali anajua kwamba ndani ya chanjo kuna Mercury(Hg) ambayo ina athari nyingi mno kwa mwanadamu?Anajua kwamba kuna Aluminium(Al),
Lead(Pb) na vitu vingine vya ajabu humo including foetal material?Kama sio uchawi huo ni nini?Foetal material ya nini kwenye chanjo,kama sio kutulisha vitu vya ajabu against our will?Niseme hivii,hawa akina Kigwangwala wamekwenda kufundishwa kudanganya,ili waje kutudanganya.

Hii ya Covid-19 is even worse,sio chanjo ni DNA altering technology,ambayo inalenga ku-programme mwili uwe kiwanda cha kutengeneza viruses.Therapy hiyo pia inalenga kuharibu immune system ya mwanadamu,na hivyo to easily succumb to the viruses produced by the body.Hii ni sayansi ambayo naamini Kigwangwala haijui,it is new to us.So Namshauri awe mdadisi zaidi.

Finally nina ujasiri wa kumuambia Kigwangwala kwamba hajui Covid-19 pamoja na udaktari wake wote,kwa hiyo afanye homework zaidi.
 

Covid-19: US agencies call for pause in Johnson & Johnson vaccine​

Published1 hour ago
Share
Related Topics
IMAGE COPYRIGHTREUTERS
US health authorities are calling for a pause in the use of the Johnson & Johnson Covid-19 vaccine, after reports of extremely rare blood clotting cases.
The Food and Drug Administration (FDA) said six cases in 6.8 million doses had been reported and it was acting "out of an abundance of caution".
Following the news, South Africa, the first country to use the jab, said it would suspend its rollout.
Johnson & Johnson said it would also delay its vaccine drive in Europe
 
The Minister is already compromized mkuu!With all the information available that the jab is a genocidal tool,all the deaths reported and all the harmful effects,bado anaipigia chapuo,ridiculous.Halafu hawa ndio viongozi,dah!Inasikitisha sana.You expect such a person to protect you?Not at all.Sana sana atakusukumia kwa "majibwa.''
 
Raisi kesha sema hatuna competent people hivyo wawekezaj, na Former CAG kasema 60% ya wafanyakazi sio competent
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…