TANZIA Dkt. Hassan Doulla, Daktari bingwa wa watoto Hospitali ya Dkt. Massawe afariki dunia

TANZIA Dkt. Hassan Doulla, Daktari bingwa wa watoto Hospitali ya Dkt. Massawe afariki dunia

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
882
Reaction score
3,337
Dkt. Hassan Doulla, ambaye ni Daktari Bingwa wa magonjwa ya watoto amefariki dunia. Kwa wale wazazi wenzangu wakaazi wa Dar es Salaam bila shaka mlipata kufika au kushauriwa kufika kwenye Hospitali ua Dkt. Massawe ili kupata huduma, bila shaka mnamkumbuka Dkt. Doulla(Dulla) kwa ushauri wake mzuri mno kuhusu afya za watoto wetu.

Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.

Doulla.JPG
 
Ila huu ugonjwa pumbavu sana unapiga wataalamu/wenye fedha hadi unaogopesha.
 
apumzike panostahili.kuna mmoja tunasubiria kwa hamu watu tukiwashe tushachoka kuendeshwa kifala
Sijui mimi nina roho gani hii jamani naomba mnisaidie! Mzee baba nilikuwa simpendi hata kidogo mpaka wife alifikia kunihoji hivi alishakukosea nini huyu baba? Lakini sasa nimeingiwa roho ya huruma sijapata kuona, yaani natamani haka kazee kasife Mungu akanusuru na nimeshakasamehe bure kabisa! Sijui hii huruma imetoka wapi! Zamani nilikuwa nasema kakifa nitachinja mwanandama aliyenona tule, tunywe na tuimbe lakini sasa nakahurumia sana!
 
Sijui mimi nina roho gani hii jamani naomba mnisaidie! Mzee baba nilikuwa simpendi hata kidogo mpaka wife alifikia kunihoji hivi alishakukosea nini huyu baba? Lakini sasa nimeingiwa roho ya huruma sijapata kuona, yaani natamani haka kazee kasife Mungu akanusuru na nimeshakasamehe bure kabisa! Sijui hii huruma imetoka wapi! Zamani nilikuwa nasema kakifa nitachinja mwanandama aliyenona tule, tunywe na tuimbe lakini sasa nakahurumia sana!
Kumbe we ndiyo unachelewesha Sherehe na maombi yako ya hapana.

R.I.P Dr Dulla.
 
Back
Top Bottom