Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
ila huu ugonjwa pumbavu sana unapiga wataalamu/wenye fedha hadi unaogopesha
Bado mtaalamu wetu mwingine tunasubiri wamtangaze.Wataalamu,wastaafu na wenye fedha wengi ni wazee, wanene kupitilza, wana matatizo ya sukari, presha, figo, moyo.
unajua tayari amaKila nikiona TANZIA nashtuka
.... pengine wanaandaa nyimbo kwanza?bado Dokta mmoja tunamsubiria.....
Kwan tayari?.... pengine wanaandaa nyimbo kwanza?
Utasubiri sana, juzi alionekana pale maeneo ya DIT akiwa mzima wa afyaapumzike panostahili.kuna mmoja tunasubiria kwa hamu watu tukiwashe tushachoka kuendeshwa kifala
Sijui mimi nina roho gani hii jamani naomba mnisaidie! Mzee baba nilikuwa simpendi hata kidogo mpaka wife alifikia kunihoji hivi alishakukosea nini huyu baba? Lakini sasa nimeingiwa roho ya huruma sijapata kuona, yaani natamani haka kazee kasife Mungu akanusuru na nimeshakasamehe bure kabisa! Sijui hii huruma imetoka wapi! Zamani nilikuwa nasema kakifa nitachinja mwanandama aliyenona tule, tunywe na tuimbe lakini sasa nakahurumia sana!apumzike panostahili.kuna mmoja tunasubiria kwa hamu watu tukiwashe tushachoka kuendeshwa kifala
Maja kasema bado na wala hakuna dalili.Kwan tayari?
Kumbe we ndiyo unachelewesha Sherehe na maombi yako ya hapana.Sijui mimi nina roho gani hii jamani naomba mnisaidie! Mzee baba nilikuwa simpendi hata kidogo mpaka wife alifikia kunihoji hivi alishakukosea nini huyu baba? Lakini sasa nimeingiwa roho ya huruma sijapata kuona, yaani natamani haka kazee kasife Mungu akanusuru na nimeshakasamehe bure kabisa! Sijui hii huruma imetoka wapi! Zamani nilikuwa nasema kakifa nitachinja mwanandama aliyenona tule, tunywe na tuimbe lakini sasa nakahurumia sana!