TANZIA Dkt. Hassan Doulla, Daktari bingwa wa watoto Hospitali ya Dkt. Massawe afariki dunia

Kuna tetesi kwamba Dk Massawe ambaye alikuwa daktari mwenza pale Happy Clinic naye kaaga dunia...

Sijui kama taarifa hizi zina ukweli

Kipaumbele, kusimamisha uchumi wao kwanza
 
Kuna tetesi kwamba Dk Massawe ambaye alikuwa daktari mwenza pale Happy Clinic naye kaaga dunia...

Sijui kama taarifa hizi zina ukweli
Na mm nlisikia hiyo ila nliambiwa alikuwa kwenye hali isiyo nzuri

Ova
 
Oooh Nooooo😭😭😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…