Zanzibar 2020 Dkt. Hussen Mwinyi: Tumaini linalorejea Zanzibar

Mtoto wa mwinyi anataka urais Zanzibar,mtoto wa karume anataka urais Zanzibar na mtoto wa abood Jumbe naye anataka urais Zanzibar. Hii kitu inaitwa Nini?
hiyo yaitwa kuwafanya wenzenu mazezeta, mazwazwa na mazumbukuku yaani hizo familia wanajiona wao tu ndio bora kuliko mtu yoyote Zenji na wana hati miliki ya kutawala nchi!!

ala ala mti na macho wazenji tusifanye makosa twende na Jecha hana makundi, hana kambi , hana makuu, ni mkazi na mwenyeji mwenzetu, ni mzoefu wa uongozi nafasi za juu, ni mtu ana uwezo binafsi wa kutoa maamuzi magumu bila kujali umma utachukuliaje kama pale aliwatoroka kamati na kujificha chini ya uvungu akamtangaza Rais peke yake kibabe!

Jecha ni jeshi la mtu mmoja ndie Magu wa Zenji ni jasiri ni mbabe ana hekima na busara na umri sahihi kuongoza visiwani!! huyu pekee ataulinda muungano sababu keshafanya kwa vitendo yale ya kuulinda! kwakuwa wazenji wamemzingua kumjazia form zake za udhamin wa urais ana usongo nao mno na ndie anafaa urais awakomeshe wote wenye fyokofyoko na waliotulia Zenji kwa maslahi mapana ya bara!!kukiwa na vita kati ya Jecha na raia ni faida ya kunguru!!

kamati kuu Lumumba msikosee kujali dhahabu hii inaitwa Mr Jecha hana kambi , hana makuu!! wagombea wengine wote ni wachumia tumbo tu!! sie wengine tuko pembezoni ila tunaona mbali mno!!! watu hubadilika wakipewa madaraka makubwa mfano Magu hakuna mtu alimfahamu kuwa atakuwa Rais wa hivi akiwa waziri , na hata ccm iwe makini na chagu lake huko Zenj!!! kina Slow times two msijesema hatukuwashtueni!!
 
Ya kazi ya kukulisha mavi dada bunyero.
kila goti litapigwa na kila yakhe mla mapembe na chaza ati, wewe subiri tumpe Jecha rungu lake awanyooshe wote nyie, hii inaitwa kizungu DIVIDE AND RULE! sijaona hoja yako zaidi ya povu tu , kwani bibie umechukia nini ati? ushalipiwa weye!!
 
kila goti litapigwa na kila yakhe mla mapembe na chaza ati, wewe subiri tumpe Jecha rungu lake awanyooshe wote nyie, hii inaitwa kizungu DIVIDE AND RULE! sijaona hoja yako zaidi ya povu tu , kwani bibie umechukia nini ati? ushalipiwa weye!!
Naona unatafuta basha kwa nguvu,kaoshe kwanza puru then urudi hapa jamvini upewe protin za moto mtoto. Mzuri.
 
Hujaskia majimbo ma 4 yemefutwa?
 
hapana majina yanafanana tu wala hawana husiano wowote huyu ni mwanishi wa habari na msomi wa udsm;
 
Kennedy family,mbarawa kuingia tatu bora
 
Hongera kwa andiko zuri kaka nikweli umeetueleza sifa nzuri za mhe Dr ila sijaona ulipo tuelezea udhaifu na changamoto zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…