TANZIA Dkt. Ibrahim Msabaha afariki dunia

TANZIA Dkt. Ibrahim Msabaha afariki dunia

Dr. Ibrahim Msabah(72) amefariki muda mfupi uliopita Muhimbili alipopelekwa baada ya kuzidiwa nyumbani kwake, Masaki Dar es Salaam. Katika uhai wake, Msabaha alishawahi kuongoza wizara ya nishati na madini mwaka 2006 mpaka 2007 kama waziri.

Dkt. Msabaha alikuwa rafiki wa karibu wa Hayati Edward Lowassa. Msabaha alijiuzulu uwaziri wa Afrika Mashariki mwaka 2008 pamoja na Nazir Karamagi aliyepokea mikoba ya wizara ya nishati kutoka kwa Ibrahim Msabaha kutokana na kashfa ya Richmond.
ile ya mwaka 2020 -2021 ndio ilikuwa funga kazi kiongozi yule alisindikizwa na waheshimiwa wengi sijui kuna siri maana inaonyesha kiongozi maarufu au mkuu anapofariki either kuna wanaomtangulia na wengine wanamfuata.
 
Dr. Ibrahim Msabah(72) amefariki muda mfupi uliopita Muhimbili alipopelekwa baada ya kuzidiwa nyumbani kwake, Masaki Dar es Salaam. Katika uhai wake, Msabaha alishawahi kuongoza wizara ya nishati na madini mwaka 2006 mpaka 2007 kama waziri.

Dkt. Msabaha alikuwa rafiki wa karibu wa Hayati Edward Lowassa. Msabaha alijiuzulu uwaziri wa Afrika Mashariki mwaka 2008 pamoja na Nazir Karamagi aliyepokea mikoba ya wizara ya nishati kutoka kwa Ibrahim Msabaha kutokana na kashfa ya Richmond.
Mwaka 2008 alipoondoka Wizara ya Afrika Mashariki ndipo Balozi Dk. Kamala aliyefariki jana akawa Waziri.
Yule jamaa chekacheka kafiwa na mlinzi mkuu, kafiwa na mawaziri wake wawili, kafiwa na Waziri Mkuu wake
 
Hapana mkuu hawa walikuwa watu wadogo sana hawakuwa na nguvu kwenye siasa za tanzania ndio maana mambo yalivyokuwa mengi alijiuzulu akawaachia wenye nguvu zao, na hata bungeni aliweka wazi kuwa yeye ni anapokea orders kutoka juu haisiki na mambo hayo, hata report ya mwakyembe ilimuweka huru, alikuwa hana makuu wala sio mpenda madaraka au mroho kwa hilo naweza kumtetea
Ila ile kauli ya kulazimisha Serikali iingie mikataba ya kununua umeme wa Dowans vinginevyo taifa litaingia latika giza kwa kipindi kisichojulikana (tena akiwa bungeni), ilimvua nguo!
 
Rafiki yako anapofariki lazima unashtuka na kama unashinikizo la Damu au Moyo umevimba inaweza kuwa ndo ntolee hiyo.

Dawa ya Misiba ni Ligaba 300×2+Diazepam 5mg x2 unasahau hata kama kuna Msiba.

Unabembea tu.
 
Hila hile kauli ya kulazimisha serikali iingie mikataba ya kununua umeme wa Dowans vinginevyo taifa litaingia latika giza kwa kipindi kisichojulikana (tena akiwa bungeni), ilimvua nguo!
Waliyomteua wamemtuma hivyo afanye nini? Hata ungekuwa wewe ungefanyaje?
 
Dr. Ibrahim Msabah(72) amefariki muda mfupi uliopita Muhimbili alipopelekwa baada ya kuzidiwa nyumbani kwake, Masaki Dar es Salaam. Katika uhai wake, Msabaha alishawahi kuongoza wizara ya nishati na madini mwaka 2006 mpaka 2007 kama waziri.

Dkt. Msabaha alikuwa rafiki wa karibu wa Hayati Edward Lowassa. Msabaha alijiuzulu uwaziri wa Afrika Mashariki mwaka 2008 pamoja na Nazir Karamagi aliyepokea mikoba ya wizara ya nishati kutoka kwa Ibrahim Msabaha kutokana na kashfa ya Richmond.
Kila nafsi itaonja mauti, na tunakujaribuni kwa mtihani wa shari na kheri. Na kwetu Sisi mtarejeshwa” [Quran: 21:35]
 
Dr. Ibrahim Msabah(72) amefariki muda mfupi uliopita Muhimbili alipopelekwa baada ya kuzidiwa nyumbani kwake, Masaki Dar es Salaam. Katika uhai wake, Msabaha alishawahi kuongoza wizara ya nishati na madini mwaka 2006 mpaka 2007 kama waziri.

Dkt. Msabaha alikuwa rafiki wa karibu wa Hayati Edward Lowassa. Msabaha alijiuzulu uwaziri wa Afrika Mashariki mwaka 2008 pamoja na Nazir Karamagi aliyepokea mikoba ya wizara ya nishati kutoka kwa Ibrahim Msabaha kutokana na kashfa ya Richmond.
Cc Mshana Jr
 
Dr. Ibrahim Msabah(72) amefariki muda mfupi uliopita Muhimbili alipopelekwa baada ya kuzidiwa nyumbani kwake, Masaki Dar es Salaam. Katika uhai wake, Msabaha alishawahi kuongoza wizara ya nishati na madini mwaka 2006 mpaka 2007 kama waziri.

Dkt. Msabaha alikuwa rafiki wa karibu wa Hayati Edward Lowassa. Msabaha alijiuzulu uwaziri wa Afrika Mashariki mwaka 2008 pamoja na Nazir Karamagi aliyepokea mikoba ya wizara ya nishati kutoka kwa Ibrahim Msabaha kutokana na kashfa ya Richmond.
R.I.P Comrade Ibrahim Msababa
 
Hata hujui series inavyokwenda kwanza huyu ana miaka 72 imekuwaje kuwa ni uzao wa 1960.
Acha akili mbovu kenge we, me sijahusisha aliyekufa na vifo vya watu wa miaka ya 1960s, nimesema zamu ya 1960s kuondoka kwa kasi sasa we unadandia gari kwa mbele, utaloa.
 
List inaendelea kuna majina bado mpaka list yake ikamilike mwacheni mungu afanye kazi yake poleni sana familia na watanzania wenzangu kwa ujumla mnyororo ni mrefu sana ndio kwanza umeanza
 
Back
Top Bottom