pmwasyoke
JF-Expert Member
- May 27, 2010
- 4,760
- 3,324
Bora umetusahau sisi wa 1950sUzao wa 1960s wanaondoka kweli kweli, baada ya miaka 6 unafuata uzao wa 1970s
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora umetusahau sisi wa 1950sUzao wa 1960s wanaondoka kweli kweli, baada ya miaka 6 unafuata uzao wa 1970s
ile ya mwaka 2020 -2021 ndio ilikuwa funga kazi kiongozi yule alisindikizwa na waheshimiwa wengi sijui kuna siri maana inaonyesha kiongozi maarufu au mkuu anapofariki either kuna wanaomtangulia na wengine wanamfuata.Dr. Ibrahim Msabah(72) amefariki muda mfupi uliopita Muhimbili alipopelekwa baada ya kuzidiwa nyumbani kwake, Masaki Dar es Salaam. Katika uhai wake, Msabaha alishawahi kuongoza wizara ya nishati na madini mwaka 2006 mpaka 2007 kama waziri.
Dkt. Msabaha alikuwa rafiki wa karibu wa Hayati Edward Lowassa. Msabaha alijiuzulu uwaziri wa Afrika Mashariki mwaka 2008 pamoja na Nazir Karamagi aliyepokea mikoba ya wizara ya nishati kutoka kwa Ibrahim Msabaha kutokana na kashfa ya Richmond.
Simpendi, halafu hivi kaenda msibani?Laigwanani anasindikizwa na Wengi
Dr Mwakyembe alisema Waziri wa nishati wa wakati huo Dr Msabaha ndiye aliyewang'ata sikio
Sijajua aliwang'ataje 🐼
Rip Msabaha
Mwaka 2008 alipoondoka Wizara ya Afrika Mashariki ndipo Balozi Dk. Kamala aliyefariki jana akawa Waziri.Dr. Ibrahim Msabah(72) amefariki muda mfupi uliopita Muhimbili alipopelekwa baada ya kuzidiwa nyumbani kwake, Masaki Dar es Salaam. Katika uhai wake, Msabaha alishawahi kuongoza wizara ya nishati na madini mwaka 2006 mpaka 2007 kama waziri.
Dkt. Msabaha alikuwa rafiki wa karibu wa Hayati Edward Lowassa. Msabaha alijiuzulu uwaziri wa Afrika Mashariki mwaka 2008 pamoja na Nazir Karamagi aliyepokea mikoba ya wizara ya nishati kutoka kwa Ibrahim Msabaha kutokana na kashfa ya Richmond.
Ila ile kauli ya kulazimisha Serikali iingie mikataba ya kununua umeme wa Dowans vinginevyo taifa litaingia latika giza kwa kipindi kisichojulikana (tena akiwa bungeni), ilimvua nguo!Hapana mkuu hawa walikuwa watu wadogo sana hawakuwa na nguvu kwenye siasa za tanzania ndio maana mambo yalivyokuwa mengi alijiuzulu akawaachia wenye nguvu zao, na hata bungeni aliweka wazi kuwa yeye ni anapokea orders kutoka juu haisiki na mambo hayo, hata report ya mwakyembe ilimuweka huru, alikuwa hana makuu wala sio mpenda madaraka au mroho kwa hilo naweza kumtetea
Kizazi cha waliozaliwa miaka ya 40 na 50, kifurushi chao kipo ukingoni, wale wa mwaka 60 waanze kujiweka sawa, Kifurushi chao kinaelekea ukingoni.Huu mwezi unafyeka wanasiasa wenye majina yao hapa mjini
Waliyomteua wamemtuma hivyo afanye nini? Hata ungekuwa wewe ungefanyaje?Hila hile kauli ya kulazimisha serikali iingie mikataba ya kununua umeme wa Dowans vinginevyo taifa litaingia latika giza kwa kipindi kisichojulikana (tena akiwa bungeni), ilimvua nguo!
Kila nafsi itaonja mauti, na tunakujaribuni kwa mtihani wa shari na kheri. Na kwetu Sisi mtarejeshwa” [Quran: 21:35]Dr. Ibrahim Msabah(72) amefariki muda mfupi uliopita Muhimbili alipopelekwa baada ya kuzidiwa nyumbani kwake, Masaki Dar es Salaam. Katika uhai wake, Msabaha alishawahi kuongoza wizara ya nishati na madini mwaka 2006 mpaka 2007 kama waziri.
Dkt. Msabaha alikuwa rafiki wa karibu wa Hayati Edward Lowassa. Msabaha alijiuzulu uwaziri wa Afrika Mashariki mwaka 2008 pamoja na Nazir Karamagi aliyepokea mikoba ya wizara ya nishati kutoka kwa Ibrahim Msabaha kutokana na kashfa ya Richmond.
Hata hujui series inavyokwenda kwanza huyu ana miaka 72 imekuwaje kuwa ni uzao wa 1960.Uzao wa 1960s wanaondoka kweli kweli, baada ya miaka 6 unafuata uzao wa 1970s
Cc Mshana JrDr. Ibrahim Msabah(72) amefariki muda mfupi uliopita Muhimbili alipopelekwa baada ya kuzidiwa nyumbani kwake, Masaki Dar es Salaam. Katika uhai wake, Msabaha alishawahi kuongoza wizara ya nishati na madini mwaka 2006 mpaka 2007 kama waziri.
Dkt. Msabaha alikuwa rafiki wa karibu wa Hayati Edward Lowassa. Msabaha alijiuzulu uwaziri wa Afrika Mashariki mwaka 2008 pamoja na Nazir Karamagi aliyepokea mikoba ya wizara ya nishati kutoka kwa Ibrahim Msabaha kutokana na kashfa ya Richmond.
R.I.P Comrade Ibrahim MsababaDr. Ibrahim Msabah(72) amefariki muda mfupi uliopita Muhimbili alipopelekwa baada ya kuzidiwa nyumbani kwake, Masaki Dar es Salaam. Katika uhai wake, Msabaha alishawahi kuongoza wizara ya nishati na madini mwaka 2006 mpaka 2007 kama waziri.
Dkt. Msabaha alikuwa rafiki wa karibu wa Hayati Edward Lowassa. Msabaha alijiuzulu uwaziri wa Afrika Mashariki mwaka 2008 pamoja na Nazir Karamagi aliyepokea mikoba ya wizara ya nishati kutoka kwa Ibrahim Msabaha kutokana na kashfa ya Richmond.
Uzao wa miaka ya 1950s ulishapita kipindi cha kuvunwa, waliobaki ni imara sana watakufa mmoja mmoja sana tofauti na 1960sBora umetusahau sisi wa 1950s
Acha akili mbovu kenge we, me sijahusisha aliyekufa na vifo vya watu wa miaka ya 1960s, nimesema zamu ya 1960s kuondoka kwa kasi sasa we unadandia gari kwa mbele, utaloa.Hata hujui series inavyokwenda kwanza huyu ana miaka 72 imekuwaje kuwa ni uzao wa 1960.