Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Amesema kuna fursa ya uwekezaji wa mafao ya misitu, ambapo kuna ardhi iliyopandwa miti zaidi ya ekari 100,000.
Ameeleza kuna mpango maalum wa kupata ongezeko la viwanda vya mbao na wameshawekeza kwenye ardhi.