Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Kalemani aache ujinga ameambiwa ukiritimba wa Tanesco kuwaingizia watu umeme hajalisimamia hilo wala hajalifuatiliaDodoma, Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amepiga marufu uuzaji wa mafuta ya Petroli, Dieseli, na Mafuta ya Taa yasiyo na vinasaba unaofanywa na baadhi ya wafanyabiashara nchini.
Dkt. Kalemani alitoa maagizo hayo Jijini Dodoma wakati wa ziara yake ya kushtukiza ya kukagua vinasaba kwenye mafuta yaliyopo katika vituo vya kuuzia mafuta mkoani humo, iliyofanyika Aprili 20, 2021.
Katika ziara hiyo aliambatana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Leonard Masanja, Naibu Katibu Mkuu, Kheri Mahimbali na Kamishna wa Petroli na Gesi, Adam Zuberi wa wizara hiyo, pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka wa Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini( EWURA),Mhandisi Godfrey Chibulunje.
Nimemdharau sana huyu kichwa mbovu, watu wanampelekea malalamiko kuhusu mambo wanayofanya mameneja Tanesco wa mikoa yeye anatuma meseji kwa haohao wanaolalamikiwa badala ya kuwawajibisha🤣🤣🤣 Viongozi wetu maigizo mengi sana
Nchi yetu inaongozwa na viongozi kama wanaongoza familia zaoNimemdharau sana huyu kichwa mbovu, watu wanampelekea malalamiko kuhusu mambo wanayofanya mameneja Tanesco wa mikoa yeye anatuma meseji kwa haohao wanaolalamikiwa badala ya kuwawajibisha
Ni utaratibu tuuMafuta yanakotoka huko na bandarini yanapimwa yako katika spec zake basi hizi zingine mbwembwe za kukusanya pesa tu.
Shabib alimlipua mpaka huyo waziri na kuikataa hoja ya Waziri... [emoji23] [emoji23]Baada ya shabib kuwalipua na kampuni yao walikuwa wanajilipa bilioni 7 kwa mwezi wamerudisha jukumu kwa TBS.
Kwani vinasaba ni nini we jamaa?TBS ni mbwa ambae hana meno.Mbona kariakoo wanauza smart phone ambazo hazina vinasaba na hakuna wa kuwagusa?
Ni yule demu uliempataga hapa JF!😄😄😄Kwani vinasaba ni nini we jamaa?
Si useme tu vitu chakavu braza Lukosi anatuleteagaMaskini nchi yangu.inapigwa sana
Mashine nyingi kuanzia bandarini ni mapambo tu havifanyi kazi, wakubwa wanapiga cha juu mambo yanakuwa sawa
Sample za marveyKwani vinasaba ni nini we jamaa?