Dkt. Kalemani: Marufuku kuuza mafuta yasiyo na vinasaba

Pale Buguruni pia Madada poa wanauza bila vinasaba
 
Mimi si ninajua vinasaba ni Deoxyribonucleic acid iliopo ndani ya cell na hii inayowekwa kwa mafuta na tbs ni gani tena!!
Hapo hadi wataalamu wa afya na msosi waje kunena
 
Huyu Kalemani aache ujinga ameambiwa ukiritimba wa Tanesco kuwaingizia watu umeme hajalisimamia hilo wala hajalifuatilia
 
Huyu Kalemani aache ujinga ameambiwa ukiritimba wa Tanesco kuwaingizia watu umeme hajalisimamia hilo wala hajalifuatilia
🀣🀣🀣 Viongozi wetu maigizo mengi sana
 
🀣🀣🀣 Viongozi wetu maigizo mengi sana
Nimemdharau sana huyu kichwa mbovu, watu wanampelekea malalamiko kuhusu mambo wanayofanya mameneja Tanesco wa mikoa yeye anatuma meseji kwa haohao wanaolalamikiwa badala ya kuwawajibisha
 
Nimemdharau sana huyu kichwa mbovu, watu wanampelekea malalamiko kuhusu mambo wanayofanya mameneja Tanesco wa mikoa yeye anatuma meseji kwa haohao wanaolalamikiwa badala ya kuwawajibisha
Nchi yetu inaongozwa na viongozi kama wanaongoza familia zao
 
Baada ya shabib kuwalipua na kampuni yao walikuwa wanajilipa bilioni 7 kwa mwezi wamerudisha jukumu kwa TBS.
Shabib alimlipua mpaka huyo waziri na kuikataa hoja ya Waziri... [emoji23] [emoji23]
 
Waziri kiboko utadhani mafuta yanachotwa mtaani kumbe yote yanatoka bandarini ambako wao ni rahisi kukagua kuanzia huko sio mtaani...ni sarakasi za uongo tuu..
 
Elezeni hiyo vinasaba kwa kingereza chake tuelewe, style za kutohoa kiboya mnapoteza technical meaning sasa genes ni vinasaba pia, confusion
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…