Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Mheshimiwa kigwangala aliumiza wengi kwa vidole vyake vya Uwaziri. Kwa hiyo akae kimya tu aache watu wafanye kazi huku yeye akiendelea kuomba hekima za Mungu na kuomba msamaha kwa watu aliowakosea .Umeongea ukweli mchungu