Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifika huko utujuze hali ya Engineer Patrick Mfugale
Mbunge wa Nzega Kijijini Dkt. Kigwangalla amesema amekumbana na ukaguzi wa barakoa muda mchache uliopita pale geti kuu la Dodoma general hospital.
Dkt. Kigwangalla amesema amefika hospitalini hapo kwa matibabu.
Mungu ampe wepesi na uponyaji wa haraka.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Ndiyo Ukweli WenyeweWimbi la tatu ni kali sana
Sema waziri wa zamani,Yeye ni waziri mstaafu!
HahahaSema waziri wa zamani,
Alikuambia lini kuwa anasitafu uwaziri anabaki na ubunge?