johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mafundi ujenzi wawili, mafundi bomba watatu, tofali za ratio ya 1:70 ziko 10,000Data gani tena
Kwani kampeni zimeshaanza mara híi JoniLeo Rais Magufuli amesimama katika mji wa Puge na kumtaka mbunge wa Nzega vijijini kuelezea matatizo ya jimbo hilo.
Ndipo alisimama mh Kigwangalla na kusema wao walipeleka ombi la kujengewa scheme ya umwagiliaji kwa naibu waziri wa kilimo mh Bashe lakini kwa kuwa Rais Magufuli yupo jimboni hapo basi anamuomba alitolee kauli.
Rais Magufuli akaomba majibu kutoka kwa naibu waziri ndipo mheshimiwa Bashe akaanza kutiririka kwa data namna alivyoshughulikia mradi huo na kwamba hadi sasa wataalamu wako site wanachapa kazi.
Wananchi wote walimshangilia naibu waziri kwa vifijo na vigeregere.
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
So what?Leo Rais Magufuli amesimama katika mji wa Puge na kumtaka mbunge wa Nzega vijijini kuelezea matatizo ya jimbo hilo.
Ndipo alisimama mh Kigwangalla na kusema wao walipeleka ombi la kujengewa scheme ya umwagiliaji kwa naibu waziri wa kilimo mh Bashe lakini kwa kuwa Rais Magufuli yupo jimboni hapo basi anamuomba alitolee kauli.
Rais Magufuli akaomba majibu kutoka kwa naibu waziri ndipo mheshimiwa Bashe akaanza kutiririka kwa data namna alivyoshughulikia mradi huo na kwamba hadi sasa wataalamu wako site wanachapa kazi.
Wananchi wote walimshangilia naibu waziri kwa vifijo na vigeregere.
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Mbona mimi nilikuwepo nyuma yao sijashangiliaSasa mbona wote walishangiliwa kwa vifijo na vigeregere.
Au awapelekee msujule mtoto mwingine tena,maana hayo mamizimu yana njaaData gani tena
What what?So what?
Kigwangala kaanza Majungu yake kwa BasheLeo Rais Magufuli amesimama katika mji wa Puge na kumtaka mbunge wa Nzega vijijini kuelezea matatizo ya jimbo hilo.
Ndipo alisimama mh Kigwangalla na kusema wao walipeleka ombi la kujengewa scheme ya umwagiliaji kwa naibu waziri wa kilimo mh Bashe lakini kwa kuwa Rais Magufuli yupo jimboni hapo basi anamuomba alitolee kauli.
Rais Magufuli akaomba majibu kutoka kwa naibu waziri ndipo mheshimiwa Bashe akaanza kutiririka kwa data namna alivyoshughulikia mradi huo na kwamba hadi sasa wataalamu wako site wanachapa kazi.
Wananchi wote walimshangilia naibu waziri kwa vifijo na vigeregere.
Chanzo: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Kigwangalla ana tabia za kizamani sana!Kigwangala kaanza Majungu yake kwa Bashe
Kigwa hatembelei jimbo lake.kichwa imevurugwaLeo Rais Magufuli amesimama katika mji wa Puge na kumtaka mbunge wa Nzega vijijini kuelezea matatizo ya jimbo hilo.
Ndipo alisimama mh Kigwangalla na kusema wao walipeleka ombi la kujengewa scheme ya umwagiliaji kwa naibu waziri wa kilimo mh Bashe lakini kwa kuwa Rais Magufuli yupo jimboni hapo basi anamuomba alitolee kauli.
Rais Magufuli akaomba majibu kutoka kwa naibu waziri ndipo mheshimiwa Bashe akaanza kutiririka kwa data namna alivyoshughulikia mradi huo na kwamba hadi sasa wataalamu wako site wanachapa kazi.
Wananchi wote walimshangilia naibu waziri kwa vifijo na vigeregere.
Chanzo: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa....... Naona jana wanakijiji wamemchomea kwa Rais Magufuli!Kigwa hatembelei jimbo lake.kichwa imevurugwa