johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mbunge wa Nzega vijijini Dr Kigwangalla amesema hakuna Hamis fala wakati akisalimiana na mbunge wa Muheza Hamis Mwinjuma
na kupost kwenye ukurasa wake wa twitter.
Ikumbukwe akina Hamis wote walioko bungeni wakiongozwa na Hamis Kigwangalla ni wajanja wajanja watupu, wengine ni Hamis Mwinjuma, Hamis Taletale na Hamis Tabasamu.
Ufipa sijawahi kumsikia Hamis yoyote!
Maendeleo hayana vyama.
na kupost kwenye ukurasa wake wa twitter.
Ikumbukwe akina Hamis wote walioko bungeni wakiongozwa na Hamis Kigwangalla ni wajanja wajanja watupu, wengine ni Hamis Mwinjuma, Hamis Taletale na Hamis Tabasamu.
Ufipa sijawahi kumsikia Hamis yoyote!
Maendeleo hayana vyama.