johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Dr Kigwangala amesema alipokuwa Waziri wa Maliasili na Utalii alifanya mambo mengi mazuri lakini hawezi kuyasema kwa sababu yeye siyo mpenda kusifiwa.
Ila kuna machache ambayo wengine wanaona sikuwa sahihi kwahiyo wanaonikosoa, nakubaliana nao hiyo ni haki yao ya msingi.
Ameandika Dkt. Kigwangala huko Twitter.
Ubarikiwe kipindi hiki cha majilio.
Ila kuna machache ambayo wengine wanaona sikuwa sahihi kwahiyo wanaonikosoa, nakubaliana nao hiyo ni haki yao ya msingi.
Ameandika Dkt. Kigwangala huko Twitter.
Ubarikiwe kipindi hiki cha majilio.