johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Dr Kigwangalla amesema ili kukabiliana na changamoto za vita ya Ukraine Serikali ni lazima Iendelee kukopa ili kuwanusuru wananchi masikini waliokwama
Kigwangalla ameipongeza Serikali kwa kukopa tsh 1.3 za uviko ambazo zinachochea maendeleo hata sasa.
Kadhalika ameipongeza Serikali kwa mazungumzo yanayoendelea ya kukopa tsh 1 trillion kutoka WB na tsh 2 trillion kutoka IMF
Kigwangalla amesema anamfana isha Rais Samia na Rais Reagan wa Marekani ambaye aliboresha sans uchumi wa US mipaka ile ya 1980s
Dr Kigwangalla amesema Rais Reagan alitumia Resgacomics yeye anatumia Kigwacomics na Rais Samia anatumia Samiacomics
Source: Star tv bungeni
Kigwangalla ameipongeza Serikali kwa kukopa tsh 1.3 za uviko ambazo zinachochea maendeleo hata sasa.
Kadhalika ameipongeza Serikali kwa mazungumzo yanayoendelea ya kukopa tsh 1 trillion kutoka WB na tsh 2 trillion kutoka IMF
Kigwangalla amesema anamfana isha Rais Samia na Rais Reagan wa Marekani ambaye aliboresha sans uchumi wa US mipaka ile ya 1980s
Dr Kigwangalla amesema Rais Reagan alitumia Resgacomics yeye anatumia Kigwacomics na Rais Samia anatumia Samiacomics
Source: Star tv bungeni