super hero1
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,057
- 825
Wewe umefanya nini kwa nafasi yako kwenye taifa la Tanzania??Aloge atolewe mtu awekweee yy..
Na baada yakuupata nn atafanyia wt au ndio atakuwa wale wale
Km nchi kupata maendeleo tusahau hawa wajinga wanawaza V8 na kubeba watt wa chuo shenziiiiMbunge hawazi kuhudumia wananchi anawaza uwaziri, kuna tatizo mahali. Na wananchi wa hilo jimbo wafikirie mara mbili kabla ya kupiga kura
Amekwambia hana ajira au kwa vile ameulizia uwaziri? Jiulize unadhani wateule wa rais baada ya kutenguliwa ufanya nini ili kuendeleza maisha yao?Ni huyu huyu alidai vijana WAJIAJIRI?!
Hawa wanasiasa wetu wako hovyo hovyo kabisa!
No Wonder safari zake kwa Waganga wa Kienyeji ni nyingi. Bado hope ipoππππMbunge wa Nzega Vijijini Dkt. Kigwangalla amesema ipo siku atapata tena Uwaziri, huwa hakatagi tamaa.
Dkt. Kigwangalla ametoa taarifa ukurasani X.
View attachment 3081701