johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Huyu naye kila siku anaota uwaziri ndiyo maana anatoa watoto wake kafara ili awe waziri tena.Mbunge wa Nzega vijijini Dr Kigwangala anasema Wabunge waliopata kuwa Mawaziri wanapata wakati mgumu wanaotaka kuikosoa Serikali Kwa Sababu wao ni Mawaziri Wastaafu
Kigwangala amesema ni Nishai kuikosoa Serikali ambayo Wewe ulikuwa sehemu yake
Kigwangala ameongea huko ukurasani X
Kwako ChoiceVariable π
Kashatoa wangapi mpaka sasa!?Huyu naye kila siku anaota uwaziri ndiyo maana anatoa watoto wake kafara ili awe waziri tena.
nidhamu ya uoga ni utumwa wa kiwango kibaya sana kwa msomi huru na anaejitegemea kama huyo muungwana.Mbunge wa Nzega vijijini Dr Kigwangala anasema Wabunge waliopata kuwa Mawaziri wanapata wakati mgumu wanaotaka kuikosoa Serikali Kwa Sababu wao ni Mawaziri Wastaafu
Kigwangala amesema ni Nishai kuikosoa Serikali ambayo Wewe ulikuwa sehemu yake
Kigwangala ameongea huko ukurasani X
Kwako ChoiceVariable π
Katoa mmoja anamlia timing wa piliKashatoa wangapi mpaka sasa!?