johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mbunge wa Nzega vijijini Dr Kigwangala anasema Wabunge waliopata kuwa Mawaziri wanapata wakati mgumu wanaotaka kuikosoa Serikali Kwa Sababu wao ni Mawaziri Wastaafu
Kigwangala amesema ni Nishai kuikosoa Serikali ambayo Wewe ulikuwa sehemu yake
Kigwangala ameongea huko ukurasani X
Kwako ChoiceVariable 😂
Kigwangala amesema ni Nishai kuikosoa Serikali ambayo Wewe ulikuwa sehemu yake
Kigwangala ameongea huko ukurasani X
Kwako ChoiceVariable 😂