Dkt. Kijaji, kweli huelewi sababu ya bei ya vifaa vya ujenzi kupanda?

Dkt. Kijaji, kweli huelewi sababu ya bei ya vifaa vya ujenzi kupanda?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Serikali yaagiza hatua zichukuliwe wanaopandisha bei za bidhaa

images.jpeg-11.jpg

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Dk Ashatu Kachwamba Kijaji

Serikali ya Tanzania imeziagiza mamlaka zote za udhibiti kuchukua hatua kali dhidi ya walimbikizaji na wauzaji kupitia mlango wa nyuma (black market), wanaosababisha bei za bidhaa kupanda sokoni ili kuhakikisha bidhaa zinafika sokoni kwa wakati na bei shindani.

Ref Mwananchi 8/2/2022.

MY TAKE:
Huyu Waziri inaelekea ana uwezo mdogo kudadavua suala la kupanda kwa bei za vifaa vya ujenzi kote nchini.
Halafu ni Dr wa PhD!

Sababu ni simple!
Laws of Supply and Demand!
Hili anashindwa vipi kuelewa?
Mama Samia katupa Tshs 1.3Trillion kwenye uchumi, na zote zinaenda ujenzi wa miradi ya jamii.

Ujenzi wa madarasa umechachamaa nchi nzima. Demand ya building materials ime shoot up, wakati supply ni ile ile.
Cement inayotumika Stiglaz tu kwa siku ni mauaji.

Sasa hapo Dr Ashatu Kachwamba Kijaji haelewi kweli?

Improve Supply, serikali hamasisha wafanyabiashara kuagiza vitu hivi kupunguza bei.

Sababu ati ooohhh uhujumu uchumi ni sababu ambazo nadiriki kusema za kijinga kidogo na Dr Kijaji kuto lielewa tatizo.

Na hivyo basi utatuzi wake utampa shida sana.
 
Dr Kijaji yuko wizara nyeti kwa uchumi.
Bla bla hazitamtoa.
Hapo wizarani asome mafaili.
Kuna Ngwilulupi Principle, aliyoi set mzee mmoja hapo anaitwa Brown Ngwilulupi na inasema, in times of shortages FLOOD THE MARKET
Dr Kijaji
Flood the Market na construction goods, ukishindwa hapo umeshindwa kazi.
 
Ukweli hausemwi lkn ukweli ni kwamba kila kitu kimepanda bei ktk nchi hii na wala sio bidhaa za ujenzi pekee na sababu iliyopelekea hiyo hali ni kwamba mfumo wa bei haukamatiki.

Inaonekana kiwango cha mfumuko unaotangazwa na serikali sio ya kweli na inaonekana mfumuko uko zaidi ya 30% ndio matokeo ya bei za bidhaa mbalimbali kupanda sana.
 
Ukweli hausemwi lkn ukweli ni kwamba kila kitu kimepanda bei ktk nchi hii na wala sio bidhaa za ujenzi pekee na sababu iliyopelekea hiyo hali ni kwamba mfumo wa bei haukamatiki.

Inaonekana kiwango cha mfumuko unaotangazwa na serikali sio ya kweli na inaonekana mfumuko uko zaidi ya 30% ndio matokeo ya bei za bidhaa mbalimbali kupanda sana.
Kweli, tunapokuwa na mawaziri wasomi tunategemea analytical approach to problems and corresponding solutions.

Hatutegemei kila mtu awe kama IGP Sirro na kamata kamata ya uhujumu.
Hii ni approach ya mwendazake amnayo viongozi wengine wamelewa nayo.
 
Lengo wananchi wapate unafuu, Kama Hilo litafanikiwa huyu atakua waziri bora kabisa.
 
Serikali yaagiza hatua zichukuliwe wanaopandisha bei za bidhaa

MONDAY FEBRUARY 07 2022

View attachment 2112185
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Dk Ashatu Kachwamba Kijaji

Serikali ya Tanzania imeziagiza mamlaka zote za udhibiti kuchukua hatua kali dhidi ya walimbikizaji na wauzaji kupitia mlango wa nyuma (black market), wanaosababisha bei za bidhaa kupanda sokoni ili kuhakikisha bidhaa zinafika sokoni kwa wakati na bei shindani.

Ref Mwananchi 8/2/2022.

MY TAKE:

Huyu Waziri inaelekea ana uwezo mdogo kudadavua suala la kupanda kwa bei za vifaa vya ujenzi kote nchini.
Halafu ni Dr wa PhD!

Sababu ni simple!
Laws of Supply and Demand!
Hili anashindwa vipi kuelewa?
Mama Samia katupa Tshs 1.3Trillion kwenye uchumi, na zote zinaenda ujenzi wa miradi ya jamii.

Ujenzi wa madarasa umechachamaa nchi nzima. Demand ya building materials ime shoot up, wakati supply ni ile ile.
Cement inayotumika Stiglaz tu kwa siku ni mauaji.

Sasa hapo Dr Ashatu Kachwamba Kijaji haelewi kweli?

Improve Supply, serikali hamasisha wafanyabiashara kuagiza vitu hivi kupunguza bei.

Sababu ati ooohhh uhujumu uchumi ni sababu ambazo nadiriki kusema za kijinga kidogo na Dr Kijaji kuto lielewa tatizo.

Na hivyo basi utatuzi wake utampa shida sana.
Kodi na makatazo makatazo ya Serikali ni chanzo cha mfumuko wa bei nchini Tanzania.
 
Kodi na makatazo makatazo ya Serikali ni chanzo cha mfumuko wa bei nchini Tanzania.
Mentality ya viongozi wengi ni command and control, si enterpreneurship.
Hivyo na serikali wanaiweka weka ku command and control.
Tuna kazi kubwa ya kuwa na a free economy na kukaribisha uwekezaji.
 
Hata mimi wa ngumbaru naelewa law of supply and demand ina run michakato yetu ya kila siku
 
Ujinga wa viongozi unatokana na kupewa vitengo kwa kujuana ambavyo sio taaluma yao yan mtu kasomea misitu halafu anapewa wizara ya viwanda na biashara sasa ni akili hiyo au matope
Kilichonikera zaidi ni kuanza kutumia staili za Magufuli, ati wanao pandisha bei za vifaa vya ujenzi ni wahujumu uchumi!

Its a very simplistic approach at solving the problem.
Dr Kijaji atambue yuko VIWANDA NA BIASHARA, siyo Mambo ya Ndani.

Watumie wafanyabiashara ku flood the market kama Maso alivyo elezea Principle ya Ngwilulupi.
 
Back
Top Bottom