Dkt. Kijaji, kweli huelewi sababu ya bei ya vifaa vya ujenzi kupanda?

Dkt. Kijaji, kweli huelewi sababu ya bei ya vifaa vya ujenzi kupanda?

Serikali yaagiza hatua zichukuliwe wanaopandisha bei za bidhaa

View attachment 2112185
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Dk Ashatu Kachwamba Kijaji

Serikali ya Tanzania imeziagiza mamlaka zote za udhibiti kuchukua hatua kali dhidi ya walimbikizaji na wauzaji kupitia mlango wa nyuma (black market), wanaosababisha bei za bidhaa kupanda sokoni ili kuhakikisha bidhaa zinafika sokoni kwa wakati na bei shindani.

Ref Mwananchi 8/2/2022.

MY TAKE:
Huyu Waziri inaelekea ana uwezo mdogo kudadavua suala la kupanda kwa bei za vifaa vya ujenzi kote nchini.
Halafu ni Dr wa PhD!

Sababu ni simple!
Laws of Supply and Demand!
Hili anashindwa vipi kuelewa?
Mama Samia katupa Tshs 1.3Trillion kwenye uchumi, na zote zinaenda ujenzi wa miradi ya jamii.

Ujenzi wa madarasa umechachamaa nchi nzima. Demand ya building materials ime shoot up, wakati supply ni ile ile.
Cement inayotumika Stiglaz tu kwa siku ni mauaji.

Sasa hapo Dr Ashatu Kachwamba Kijaji haelewi kweli?

Improve Supply, serikali hamasisha wafanyabiashara kuagiza vitu hivi kupunguza bei.

Sababu ati ooohhh uhujumu uchumi ni sababu ambazo nadiriki kusema za kijinga kidogo na Dr Kijaji kuto lielewa tatizo.

Na hivyo basi utatuzi wake utampa shida sana.
Ni --- mwenzetu huyo yakhe alihamiaga tu huko baraaa
 
Kweli, tunapokuwa na mawaziri wasomi tunategemea analytical approach to problems and corresponding solutions.

Hatutegemei kila mtu awe kama IGP Sirro na kamata kamata ya uhujumu.
Hii ni approach ya mwendazake amnayo viongozi wengine wamelewa nayo.
Tatizo kubwa ni jinsi ya kuwapata viongozi, no vetting. Hatuna utaratibu mzuri wa kuandaa na kurithishana uongozi, wanapatikana kwa kujuana.
 
Tatizo kubwa ni jinsi ya kuwapata viongozi, no vetting. Hatuna utaratibu mzuri wa kuandaa na kurithishana uongozi, wanapatikana kwa kujuana.
Frankly, nilikuwa namtegemea sana huyu mama kuwa na utendaji at least wa kisomi.
She looks serious lakini hii episode imeni punguza imani naye.

Mimi niko construction industry long time hivyo hizi trends tunazifahamu sana.
 
Kama hajui tatzo atatatua vipi tatizo, kwaiyo wananchi tuendelee kuumia!!!
 
Hakuna cha supply wala demand!

Wafanyabiashara wamepandisha bidhaa sababu mikodi ya hangaya, full stop
 
Hakuna cha supply wala demand!

Wafanyabiashara wamepandisha bidhaa sababu mikodi ya hangaya, full stop
Inakuja kabisa yani na inaingia akilini ila hebu weka nyama nyama basi
 
Hakuna cha supply wala demand!

Wafanyabiashara wamepandisha bidhaa sababu mikodi ya hangaya, full stop
Biashara ina changamoto nyingi.
Usitazame tatizo kwa macho yako tu, panua wigo wako wa kufikiri.
 
Biashara ina changamoto nyingi.
Usitazame tatizo kwa macho yako tu, panua wigo wako wa kufikiri.
Hizo demand za madarasa unazosema haziwezi kupandisha bei za bidhaa namna hii!

Kumbuka kilichopanda siyo materials za ujenzi tu, kuna bidhaa nyingi sana zimepanda.

Kilichopandisha bei ya bidhaa ni makodi ya hangaya basi.
 
Hizo demand za madarasa unazosema haziwezi kupandisha bei za bidhaa namna hii!

Kumbuka kilichopanda siyo materials za ujenzi tu, kuna bidhaa nyingi sana zimepanda.

Kilichopandisha bei ya bidhaa ni makodi ya hangaya basi.
Litazame tatizo kwa mapana yake.
Demand ikiwa kubwa sana kuliko ilivyo kawaida.
Very much money chasing too few goods- hoarding hapo ni lazima.

Kodi na tozo zilizoongezeka moja kwa moja hebu ziweke hapa tuzione.
 
Nchi sasaivi inatekeleza miradi mingi sana ya ujenzi,miaka ya nyuma kidogo nakumbuka wajenzi wengi wa miradi walikuwa wakitaka kujenga wanaagiza material yao wenyewe uko wanakotoka ama kwingineko,sasa alivyokuja marehemu akakataa ilo jambo na kusema kila mkandarasi wa ujenzi anunue vifaa vya ujenzi hapahapa nchini,ilihali baadhi ya vifaa havina qualty waitakayo,basi mwisho wa siku wakajikuta wananunua hapahapa nchini kwetu,hii nayo huenda ikawa ni sababu mojawapo....kwa upeo wangu lakini
 
Serikali yaagiza hatua zichukuliwe wanaopandisha bei za bidhaa

View attachment 2112185
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Dk Ashatu Kachwamba Kijaji

Serikali ya Tanzania imeziagiza mamlaka zote za udhibiti kuchukua hatua kali dhidi ya walimbikizaji na wauzaji kupitia mlango wa nyuma (black market), wanaosababisha bei za bidhaa kupanda sokoni ili kuhakikisha bidhaa zinafika sokoni kwa wakati na bei shindani.

Ref Mwananchi 8/2/2022.

MY TAKE:
Huyu Waziri inaelekea ana uwezo mdogo kudadavua suala la kupanda kwa bei za vifaa vya ujenzi kote nchini.
Halafu ni Dr wa PhD!

Sababu ni simple!
Laws of Supply and Demand!
Hili anashindwa vipi kuelewa?
Mama Samia katupa Tshs 1.3Trillion kwenye uchumi, na zote zinaenda ujenzi wa miradi ya jamii.

Ujenzi wa madarasa umechachamaa nchi nzima. Demand ya building materials ime shoot up, wakati supply ni ile ile.
Cement inayotumika Stiglaz tu kwa siku ni mauaji.

Sasa hapo Dr Ashatu Kachwamba Kijaji haelewi kweli?

Improve Supply, serikali hamasisha wafanyabiashara kuagiza vitu hivi kupunguza bei.

Sababu ati ooohhh uhujumu uchumi ni sababu ambazo nadiriki kusema za kijinga kidogo na Dr Kijaji kuto lielewa tatizo.

Na hivyo basi utatuzi wake utampa shida sana.
Kimsingi watu kutoka zanzibar wanauwezo mdogo sana halafu ni wavivu sana kuumiza ubongo wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom