Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
kakuibia nini ? tupe ushahidiSana. Kiufupi sina maadili ya kitanzania.
Lakini MAJIZI lazima tuyasimange usiku na mchana mpaka yaombe poo.
Una swali lingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kakuibia nini ? tupe ushahidiSana. Kiufupi sina maadili ya kitanzania.
Lakini MAJIZI lazima tuyasimange usiku na mchana mpaka yaombe poo.
Una swali lingine?
Alafu uyu mzee wa Msoga , sio aende KENYA NAKUWEKA MAMBO SAWA, KAMA ZAMBIA alafu atuzingue kwenye uchaguzi wa kwetu 2025, haiwezekani ukaacha nyumba yako unawaka moto unakimbilia ya jiraniRais mstaafu Dr Kikwete ataongoza kundi la Waangalizi wa Jumuiya ya Africa Mashariki kwenye Uchaguzi Mkuu wa Kenya
Source ITV
Katuibia gesi yetu ya mtwara na genge lake la majizi.kakuibia nini ? tupe ushahidi
Mnafiki namba Tanzania nzima huyo.Kikwete ana stahili ni kiongozi mwenye sifa na diplomasia iliyo tukukuka .in GENTAMYCINE voice
Kwa nini uchaguzi wa nchi za Afrika lazima usimamiwe? Miye sijawahi kusikia waangalizi wa uchaguzi wa India au Japan.
Dr. Kikwete, the living legendary of democracy in Tanzania.Rais mstaafu Dr Kikwete ataongoza kundi la Waangalizi wa Jumuiya ya Africa Mashariki kwenye Uchaguzi Mkuu wa Kenya
Source ITV
Sawa mzee wa SAUTMnafiki namba Tanzania nzima huyo.
Sawa 'Mnyankole' na Kijana wa Sinza.Sawa mzee wa SAUT
Aisee, ungemshushia na kibao kabisa.You seem to be badly brought up by your parents. You are seriously weird. I don’t know how you are living with the society.
A proper person to supervise a country national election must be a person above the ones who are running for election.
A person like you to consider being an observer will be a scandal and terrible.
Learn how to think and act like a human being.
Alikuwa pia kiongozi wa timu ya waaangaizi wa kimataifa kue Nigeria.Kikwete ana stahili ni kiongozi mwenye sifa na diplomasia iliyo tukukuka .in GENTAMYCINE voice
Aliyesababisha Watanzania wote Kudharauliwa na kuonekana ni Kituko na Majirani na Wenye Akili Kubwa duniani.Dr. Kikwete, the living legendary of democracy in Tanzania.
Rais mzuri akiondoka Ikulu huwa anakomba Pesa zote Hazina ili Kumkomoa ajaye na zote akizikimbiza nchini Malaysia kuzificha akihofia akiziweka Uswis zitanyakuliwa kama zile alizozinyakuwa ( alipokuwa Waziri wa Fedha ) za Marehemu Waziri Kighoma Malima na Kumsababishia Mshtuko hadi akafia huko?Alikuwa pia kiongozi wa timu ya waaangaizi wa kimataifa kue Nigeria.
Tunaweza tusimpende, tumaweza kumwonea wivu, lakini ukweli unabakia pale pale kuwa Kikwete ni lazima ana uwezo mkubwa kwenye mambo fulani ambayo wenye macho wanauona upo kwake tu na siyo kwa wengine, ndiyo maana kila wakati jina la Kikwete linakuwa mbele ya majina mengine.
Umegonga mule mule2007 walivyoanza kuchinjana Kenya ni huyu JK ndio alienda kuwatuliza Odinga na Hayati Mwai
tukumbuke Kenya haina Rais mstaafu alie hadi hadi sasa so Mzee JK ni Babu wa Kambo hivyo ana wajibu wa Africa
Hii comment ya mwana ccm stroke huyu kada au kuna kiazi kimemdukua account yake😳?.Anependa wazungu sana.
Kikwete mwizi wa kura akasimamie uchaguzi?!You seem to be badly brought up by your parents. You are seriously weird. I don’t know how you are living with the society.
A proper person to supervise a country national election must be a person above the ones who are running for election.
A person like you to consider being an observer will be a scandal and terrible.
Learn how to think and act like a human being.
Hawa wanaojidai waangalizi wanaangalia nini? Mbona wanafanana na watalii!Rais mstaafu Dr Kikwete ataongoza kundi la Waangalizi wa Jumuiya ya Africa Mashariki kwenye Uchaguzi Mkuu wa Kenya
Source ITV
Siyo msimamizi ni muangalizi au kwa lugha sahihi mtalii.Kikwete mwizi wa kura akasimamie uchaguzi?!