Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aahidi kutoa milioni 100 kwa barabara ya Minjingu - Kakoi

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aahidi kutoa milioni 100 kwa barabara ya Minjingu - Kakoi

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Dkt. John Magufuli, mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, ameahidi kuikarabati barabara ya Minjingu – Kakoi kwa Tsh Milioni 100

Kwa mujibu wa meneja wa TANROADS alisema barabara hiyo ilikuwa katika mpango wa 2020/2021 na ilikuwa bajeti ya Tsh. Milioni 58

Dkt. Magufuli alisema kuiongeza bajeti hiyo kuwa Tsh. Milioni 100 na akataka zabuni ya barabara hiyo itangazwe mapema iwezekanavyo

Ameahidi hayo alipokuwa Minjingu, Manyara kwenye mkutano wa Kampeni
 
Magufuli alishatuambia kuwa hakuwa na maono wala ndoto za kuja kuwa Rais wa Tanzania, alisukumiziwa tu, na anajuta kupata hiyo nafasi, angejua uzito wake asingegombea.
Rais Magufuli ni mbeba maono ya Watanzania
 
Huo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Magufuli alishatuambia kuwa hakuwa na maono wala ndoto za kuja kuwa Rais wa Tanzania, alisukumiziwa tu, na anajuta kupata hiyo nafasi, angejua uzito wake asingegombea.
 
Dkt. John Magufuli, mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, ameahidi kuikarabati barabara ya Minjingu – Kakoi kwa Tsh Milioni 100

Kwa mujibu wa meneja wa TANROADS alisema barabara hiyo ilikuwa katika mpango wa 2020/2021 na ilikuwa bajeti ya Tsh. Milioni 58

Dkt. Magufuli alisema kuiongeza bajeti hiyo kuwa Tsh. Milioni 100 na akataka zabuni ya barabara hiyo itangazwe mapema iwezekanavyo

Ameahidi hayo alipokuwa Minjingu, Manyara kwenye mkutano wa Kampeni
Sera zimemshinda sasa ni kutoa hongo tuu. Na NEC wako kama hawaoni.
 
Sera zimemshinda sasa ni kutoa hongo tuu. Na NEC wako kama hawaoni.
Kila kona katoa Rushwa live kwa kutumia mawaziri ambao kisheria hawatakiwi kufanya kazi sasa baada ya bunge kuvunjwa lakini yeye kavunja katiba na Sheria mpaka sasa waziri mkuu yupo na mawarizi wapo kazini
 
Akikosa Kura hizi ahadi atazitimiza kwa kwenda kuuza Nini kule kwao?
Dkt. John Magufuli, mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, ameahidi kuikarabati barabara ya Minjingu – Kakoi kwa Tsh Milioni 100

Kwa mujibu wa meneja wa TANROADS alisema barabara hiyo ilikuwa katika mpango wa 2020/2021 na ilikuwa bajeti ya Tsh. Milioni 58

Dkt. Magufuli alisema kuiongeza bajeti hiyo kuwa Tsh. Milioni 100 na akataka zabuni ya barabara hiyo itangazwe mapema iwezekanavyo

Ameahidi hayo alipokuwa Minjingu, Manyara kwenye mkutano wa Kampeni
 
Akikosa Kura hizi ahadi atazitimiza kwa kwenda kuuza Nini kule kwao?
Kutwa akikaa kwake huangalia video za Nigeria ya sasa na pia video za Elbashiri wa Sudan na Jacob zuma wa South Africa
 
Hii ni Rushwa ya wazi na hapa ndipo NECCCM Tumeccm huonyesha udhaifu wao live
 
Back
Top Bottom