ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Mshaurini MAGUFULI aanze kujifunza wimbo wa ONE LOVE, wimbo wa ukombozi, nchi inaende kukombolewa
View attachment 1607899
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshaurini MAGUFULI aanze kujifunza wimbo wa ONE LOVE, wimbo wa ukombozi, nchi inaende kukombolewa
View attachment 1607899
Umri wako bado mdogo na unakuzuia kuyajua ya miaka Ile iliyopita na ya Sasa! Zao la kahawa limeuliwa kimkakati ili kuwafukarisha wakulima wa zao Hilo na kudumaza maendeleo ya Kasi ya wakulima na wakazi wa Kilimanjaro!
Hebu waza juu ya kahawa ya kagera na Bei take ilivyoshushwa tofauti na wakulima wa Uganda ambao Bei zao Hilo ipo juu kiasi kwamba wakulima wa kahawa kagera hawaruhusiwi kwenda kuuza kahawa yao huko! Sijui unalielewa lengo la kuwazuia? Kuwafukarisha na kudumaza maendeleo yao! Karibu uhabarike na acha ushabiki wa kitoto kwenye Maisha ya watu!
Hahaha zile mnzoita Za kimkakati, za kujipigia kwenye machine na za vituo hewa?!Utashangaa atashangaa utakavyopata kura nyingi ndipo utajua JPM anavyokubalika
Siku nikikuta Johnthebaptist amelike utopolo kama huu ndo nitajua CCM imeishiwa kabisaaaa!Kilimanjaro wanataka maendeleo na kuingiza pesa na kupata fursa
Ujio wa CHADEMA umewatibulia kila kitu ambacho wali enjoy toka Tanzania ipate uhuru kwenye kila sekta
Kilimanjaro wanasema CHADEMA sio chama cha kawaida ni shetani na pepo lililotoka kuzimu kuja kwaharibia watu watu wa kilimanjaro Tanzania sababu toka lifike Tanzania hakuna sehemu mambo ya watu wa kilimanjaro yanakuwa mazuri iwe maofisini,kwenye biashara nk
Wameapa kutolipa kura hilo shetani tena kama Biblia inavyosema msimpe nafasi ibilisi
Alimpa Lissu Ulemavu kwa risasi, yeye Mungu anamnyoosha yan vimiguu vinakwisha kwa kasi kama mgonjwa wa polioWatanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea.
Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa kwenye mkoa huo.
Hii ni ishara ya wazi kuwa atapata kura za kishindo mkoa wa Kilimanjaro katika uchaguzi wa wiki ijayo.
Kwa mujibu wa taarifa hizo za uhakika ndani ya mkoa huo, kuna uwezekano mkubwa Chadema kwa mwaka huu isipate hata Mbunge mmoja katika mkoa wa Kilimanjaro. Ni kutokana na maji kuwa shingoni ndiyo maana Mbowe hajapata hata nafasi ya kuungana na Lissu kwenye kampeni. Yeye mwenyewe amesikika akisema mara nyingi kuwa anapambana na hali yake.
Taarifa za kiuchunguzi zinaeleza kuwa Chadema inatarajia kupata madiwani tu wachache kwenye mkoa huo.
Hongereni wanakilimanjaro kwa kuamua kupanda train la maendeleo na kusafiri na JPM. Chadema imewachelewesha sana. Mmefanya uamuzi Bora wa kwenda na JPM
Huko chato kashindwa vunja ngome ya cdm,moshi hawana muda nae kasomba watu kutoka manyara na mabasi usiku kucha[emoji16][emoji16][emoji16]maendeleo tunayo toka 1960 wakti mpka leo chato wanakunywa maji na mifugoWatanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea.
Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa kwenye mkoa huo.
Hii ni ishara ya wazi kuwa atapata kura za kishindo mkoa wa Kilimanjaro katika uchaguzi wa wiki ijayo.
Kwa mujibu wa taarifa hizo za uhakika ndani ya mkoa huo, kuna uwezekano mkubwa Chadema kwa mwaka huu isipate hata Mbunge mmoja katika mkoa wa Kilimanjaro. Ni kutokana na maji kuwa shingoni ndiyo maana Mbowe hajapata hata nafasi ya kuungana na Lissu kwenye kampeni. Yeye mwenyewe amesikika akisema mara nyingi kuwa anapambana na hali yake.
Taarifa za kiuchunguzi zinaeleza kuwa Chadema inatarajia kupata madiwani tu wachache kwenye mkoa huo.
Hongereni wanakilimanjaro kwa kuamua kupanda train la maendeleo na kusafiri na JPM. Chadema imewachelewesha sana. Mmefanya uamuzi Bora wa kwenda na JPM
lumumbenizingWatanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea.
Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa kwenye mkoa huo.
Hii ni ishara ya wazi kuwa atapata kura za kishindo mkoa wa Kilimanjaro katika uchaguzi wa wiki ijayo.
Kwa mujibu wa taarifa hizo za uhakika ndani ya mkoa huo, kuna uwezekano mkubwa Chadema kwa mwaka huu isipate hata Mbunge mmoja katika mkoa wa Kilimanjaro. Ni kutokana na maji kuwa shingoni ndiyo maana Mbowe hajapata hata nafasi ya kuungana na Lissu kwenye kampeni. Yeye mwenyewe amesikika akisema mara nyingi kuwa anapambana na hali yake.
Taarifa za kiuchunguzi zinaeleza kuwa Chadema inatarajia kupata madiwani tu wachache kwenye mkoa huo.
Hongereni wanakilimanjaro kwa kuamua kupanda train la maendeleo na kusafiri na JPM. Chadema imewachelewesha sana. Mmefanya uamuzi Bora wa kwenda na JPM
forcement + fiestaHuko chato kashindwa vunja ngome ya cdm,moshi hawana muda nae kasomba watu kutoka manyara na mabasi usiku kucha[emoji16][emoji16][emoji16]maendeleo tunayo toka 1960 wakti mpka leo chato wanakunywa maji na mifugoView attachment 1609019
Umedanganywa kibwege sana !Watanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea.
Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa kwenye mkoa huo.
Hii ni ishara ya wazi kuwa atapata kura za kishindo mkoa wa Kilimanjaro katika uchaguzi wa wiki ijayo.
Kwa mujibu wa taarifa hizo za uhakika ndani ya mkoa huo, kuna uwezekano mkubwa Chadema kwa mwaka huu isipate hata Mbunge mmoja katika mkoa wa Kilimanjaro. Ni kutokana na maji kuwa shingoni ndiyo maana Mbowe hajapata hata nafasi ya kuungana na Lissu kwenye kampeni. Yeye mwenyewe amesikika akisema mara nyingi kuwa anapambana na hali yake.
Taarifa za kiuchunguzi zinaeleza kuwa Chadema inatarajia kupata madiwani tu wachache kwenye mkoa huo.
Hongereni wanakilimanjaro kwa kuamua kupanda train la maendeleo na kusafiri na JPM. Chadema imewachelewesha sana. Mmefanya uamuzi Bora wa kwenda na JPM
thubutu...we unadhani haogopi nchaleMtwara anaenda lini?
alafu tunamcheka kwa dharauUmedanganywa kibwege sana !
jidanganyeMitano tena kwa Magufuli hili neno nwaambiavwazandiki kuwa Lissu awezi pata ata kura buku mbili