Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aivunja ngome ya CHADEMA Kilimanjaro

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aivunja ngome ya CHADEMA Kilimanjaro

Mshaurini MAGUFULI aanze kujifunza wimbo wa ONE LOVE, wimbo wa ukombozi, nchi inaende kukombolewa

View attachment 1607899
1603382188855.png
 
Walipelekwa na mabasi kutoka maeneo mengine. Wenye mji wao walikuwa busy na kazi zao. Maduka yalikuwa yanapiga biashara. Lissu walifunga biashara na nyomi kuanzia njiani.
 
Umri wako bado mdogo na unakuzuia kuyajua ya miaka Ile iliyopita na ya Sasa! Zao la kahawa limeuliwa kimkakati ili kuwafukarisha wakulima wa zao Hilo na kudumaza maendeleo ya Kasi ya wakulima na wakazi wa Kilimanjaro!
Hebu waza juu ya kahawa ya kagera na Bei take ilivyoshushwa tofauti na wakulima wa Uganda ambao Bei zao Hilo ipo juu kiasi kwamba wakulima wa kahawa kagera hawaruhusiwi kwenda kuuza kahawa yao huko! Sijui unalielewa lengo la kuwazuia? Kuwafukarisha na kudumaza maendeleo yao! Karibu uhabarike na acha ushabiki wa kitoto kwenye Maisha ya watu!

Mimi ni mtoto wa mkulima wa kahawa nafahamu kilichowatokea wakulima wa kahawa akiwamo baba yangu. Wakati zao la kahawa kwa wakulima wadogo likifa mkoani Kilimanjaro nilikuwa na akili timamu na sababu ni serikali kuondoa ruzuku ya madawa baada ya Mbunge wa wakati Augustino Mrema kushinikiza Bungeni mkulima apewe bei kamili madawa atanunua mwenyewe
 
Hana ubavu huo.siyo kilimanjaro tuu hata manyara ,arusha haweziii
 
Mleta mada na hicho chanzo chako cha taarifa mnaonekana wazi hamuwajui vema jamii za mkoa wa Kilimanjaro, maana msingejidanganya hivyo.



JESUS IS LORD.
 
Kilimanjaro wanataka maendeleo na kuingiza pesa na kupata fursa
Ujio wa CHADEMA umewatibulia kila kitu ambacho wali enjoy toka Tanzania ipate uhuru kwenye kila sekta

Kilimanjaro wanasema CHADEMA sio chama cha kawaida ni shetani na pepo lililotoka kuzimu kuja kwaharibia watu watu wa kilimanjaro Tanzania sababu toka lifike Tanzania hakuna sehemu mambo ya watu wa kilimanjaro yanakuwa mazuri iwe maofisini,kwenye biashara nk
Wameapa kutolipa kura hilo shetani tena kama Biblia inavyosema msimpe nafasi ibilisi
Siku nikikuta Johnthebaptist amelike utopolo kama huu ndo nitajua CCM imeishiwa kabisaaaa!
 
Sio vyepesi hivyo. Propaganda na organized impressions has nothing to do with people's deeply political affiliation
 
Juzi mheshimiwa alipokuwa Bagamoyo nilishangaa anauliza na watu wa Kisarawe mtampa Jafo wakaitikia, akawauliza na wa Chalinze mtampa Riz wakaitikia na wa Kibiti wakaulizwa nao walikuwepo pale Mwanakalenge Bagamoyo.

Hii ndio mikutano ya CCM wanakusanyana wa kila kona kuongeza vichwa. Tutajuana tarehe 28.10.2020 ni yeye Tundu Lissu
 
Watanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea.

Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa kwenye mkoa huo.

Hii ni ishara ya wazi kuwa atapata kura za kishindo mkoa wa Kilimanjaro katika uchaguzi wa wiki ijayo.

Kwa mujibu wa taarifa hizo za uhakika ndani ya mkoa huo, kuna uwezekano mkubwa Chadema kwa mwaka huu isipate hata Mbunge mmoja katika mkoa wa Kilimanjaro. Ni kutokana na maji kuwa shingoni ndiyo maana Mbowe hajapata hata nafasi ya kuungana na Lissu kwenye kampeni. Yeye mwenyewe amesikika akisema mara nyingi kuwa anapambana na hali yake.

Taarifa za kiuchunguzi zinaeleza kuwa Chadema inatarajia kupata madiwani tu wachache kwenye mkoa huo.

Hongereni wanakilimanjaro kwa kuamua kupanda train la maendeleo na kusafiri na JPM. Chadema imewachelewesha sana. Mmefanya uamuzi Bora wa kwenda na JPM
Alimpa Lissu Ulemavu kwa risasi, yeye Mungu anamnyoosha yan vimiguu vinakwisha kwa kasi kama mgonjwa wa polio
 
kwa ccm hii ya sasa kwa gharama yoyote ile lazima nyomi ipatikane nyomi ambazo hazina uhalali sio kitu cha ajabu
makada wa ccm mmeshaacha kututambishia hizo nyomi
 
Watanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea.

Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa kwenye mkoa huo.

Hii ni ishara ya wazi kuwa atapata kura za kishindo mkoa wa Kilimanjaro katika uchaguzi wa wiki ijayo.

Kwa mujibu wa taarifa hizo za uhakika ndani ya mkoa huo, kuna uwezekano mkubwa Chadema kwa mwaka huu isipate hata Mbunge mmoja katika mkoa wa Kilimanjaro. Ni kutokana na maji kuwa shingoni ndiyo maana Mbowe hajapata hata nafasi ya kuungana na Lissu kwenye kampeni. Yeye mwenyewe amesikika akisema mara nyingi kuwa anapambana na hali yake.

Taarifa za kiuchunguzi zinaeleza kuwa Chadema inatarajia kupata madiwani tu wachache kwenye mkoa huo.

Hongereni wanakilimanjaro kwa kuamua kupanda train la maendeleo na kusafiri na JPM. Chadema imewachelewesha sana. Mmefanya uamuzi Bora wa kwenda na JPM
Huko chato kashindwa vunja ngome ya cdm,moshi hawana muda nae kasomba watu kutoka manyara na mabasi usiku kucha[emoji16][emoji16][emoji16]maendeleo tunayo toka 1960 wakti mpka leo chato wanakunywa maji na mifugo
IMG_20201022_104906.jpeg
 
Watanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea.

Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa kwenye mkoa huo.

Hii ni ishara ya wazi kuwa atapata kura za kishindo mkoa wa Kilimanjaro katika uchaguzi wa wiki ijayo.

Kwa mujibu wa taarifa hizo za uhakika ndani ya mkoa huo, kuna uwezekano mkubwa Chadema kwa mwaka huu isipate hata Mbunge mmoja katika mkoa wa Kilimanjaro. Ni kutokana na maji kuwa shingoni ndiyo maana Mbowe hajapata hata nafasi ya kuungana na Lissu kwenye kampeni. Yeye mwenyewe amesikika akisema mara nyingi kuwa anapambana na hali yake.

Taarifa za kiuchunguzi zinaeleza kuwa Chadema inatarajia kupata madiwani tu wachache kwenye mkoa huo.

Hongereni wanakilimanjaro kwa kuamua kupanda train la maendeleo na kusafiri na JPM. Chadema imewachelewesha sana. Mmefanya uamuzi Bora wa kwenda na JPM
lumumbenizing
 
Watanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea.

Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa kwenye mkoa huo.

Hii ni ishara ya wazi kuwa atapata kura za kishindo mkoa wa Kilimanjaro katika uchaguzi wa wiki ijayo.

Kwa mujibu wa taarifa hizo za uhakika ndani ya mkoa huo, kuna uwezekano mkubwa Chadema kwa mwaka huu isipate hata Mbunge mmoja katika mkoa wa Kilimanjaro. Ni kutokana na maji kuwa shingoni ndiyo maana Mbowe hajapata hata nafasi ya kuungana na Lissu kwenye kampeni. Yeye mwenyewe amesikika akisema mara nyingi kuwa anapambana na hali yake.

Taarifa za kiuchunguzi zinaeleza kuwa Chadema inatarajia kupata madiwani tu wachache kwenye mkoa huo.

Hongereni wanakilimanjaro kwa kuamua kupanda train la maendeleo na kusafiri na JPM. Chadema imewachelewesha sana. Mmefanya uamuzi Bora wa kwenda na JPM
Umedanganywa kibwege sana !
 
Back
Top Bottom