Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe pumba kabisa anaye muhenyesha bungeni Waziri Mkuu kila ahamisi kwenye maswali ya papo kwa ppo ni nani? Kuweni na kumbukumbu
Vipi kuhusu chato?Magufuli kiboko yao. Nimefurahi Sana, hatimaye Ukombozi unakuja. Jimbo linaloongozwa na mbunge tena mkuu wa kambi rasmi kukosa maji, hospital, barabara ni uzembe ulioje. Huyu mjasiriamali hakai hai, kule anakuja chaguzi kwa chaguzi huyu pongo atavuna alicho panda. Kashindwa hadi na mbatia wa vunjo,kule maji yapo at least, barabara na hospital kiasi. Saccos kwisha kabisa, na Sera zenu za ushoga shoga hakuna atakayewanunua hata kwa bure. Viva Magufuli.
Wateja watakua wachache sana. Vijana mindset zimebadilika sio KAZI NA BATA tena ila ni KAZI KWANZA BATA BAADAE😁😁Mbowe kwisha,arudi kwenye kazi yake ya udj kuchezesha wa mziki.
Mbowe is a political heavyweight and he cannot be defeated by a political lightweight such as the ccm candidate.Leo hii Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na mgombea urais kupitia CCM bila ya huruma yoyote na kwa zaidi ya dakika 23 alimkaba Mbowe akiwa chini na kumwekea goti shingoni kwa muda wote huo na kusababisha kifo chake cha kisiasa kwa Mbowe kitu ambacho kimetafsiliwa kuwa ni uuaji kama uuaji mwingine.
Magufuli ambaye alianza taratibu kwa kumfyatua mtama na kumweka chini kwa kusema alimpa gari kubwa na zuri la gharama hili asaidiane nae katika kujenga nchi lakini yeye akawa anaendenalo kusiko julikana. Baada ya hapo Magufuli ndiyo akaamua kumwekea goti shingoni ambapo Mbowe alisikika kwa shida akisema unaniua, lakini Magufuli akazidi kukandamiza huku wapambe wake wakishangilia kwa kusema yeye amekuwa mwalimu wa kufundisha wabunge kuziba midomo na vitambaa na kuwaambia wana Hai kuwa huyu mtu mlikosea si kidogo amekuwa shida ya kuleta maendeleo katika jimbo la Hai.
Magu akaona hiyo haitoshi akaamua kumziba kabisa na pua hili kuukatiza uhai wake pale aliposema kuhusu huyu jamaa alivyowatoa wabunge wake wote bungeni wakimbie Korona. Anasema korona ni mbaya lakini Mbowe ndiyo mbaya zaidi kwani alikuwa anataka kuutumia ukuu wake wa kambi rasmi bungeni watu wafungiwe ndani hili wafe na njaa, hili tamko lake alilowai kulisema huko nyuma litimie kuwa lazima Tanzania ibebe majeneza.
Magufuli aliendelea kufaya ukatili huo huku wana hai wakishangilia kwa kelele wakati uhai wa mboe ukitoweka kwa kuwaambia je mlimchagua kuja kususa bungeni au kujenga hoja kufikia maendeleo.
Magu huku akiwa amwmwekea goti na akiwa amemkazia macho usoni alisema huyu simwachi amenitesa sana maana alikuwa ananifunga miguu na mikono minyororo alafu natumwa nipeleke maji Hai nimeteseka sana sasa nammalizia. Mwisho wa kunukuu.
Wanahai huku wakishuhudia kifo hicho wameendelea nao kupigilia misumari juu ya jeneza kwa kusema hawajawai kumwana hapo tangia awe mbunge, hila wanamwona katika taharifa za habari na mambo ya kitaifa kama kususa bungeni na kujificha wakati wa korona na matumizi mabaya ya ruzuku. Mzee mmoja ambaye tulishindwa kupata jina lake yeye alisema kuwa licha ya kuwa ametuacha pia ni mpinafsi sana kwani ameifanya Hai kuwa kisiwa ambacho kinafikiwa kwa shida hivyo kwa kifo chake ukombozi umefika.
Naona Lumumba mmefungua ofisi humu
Tushasema mtajua hamjui mwaka huu
Wananchi tunawaangalia tu mstuone wajinga Ila
Jeurii yetu ipo kwenye sanduku.
Natumai mnamsikia uyo Jingalao akituomba tusipige kura za hasira.
Yaaan kura za mwaka huu ni za HASIRA
Post kama hizi za kipuuzi usilete humu amfuta Mboe kwa hizo siesta au kwa lipi,acha upuuziLeo hii Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na mgombea urais kupitia CCM bila ya huruma yoyote na kwa zaidi ya dakika 23 alimkaba Mbowe akiwa chini na kumwekea goti shingoni kwa muda wote huo na kusababisha kifo chake cha kisiasa kwa Mbowe kitu ambacho kimetafsiliwa kuwa ni uuaji kama uuaji mwingine.
Magufuli ambaye alianza taratibu kwa kumfyatua mtama na kumweka chini kwa kusema alimpa gari kubwa na zuri la gharama hili asaidiane nae katika kujenga nchi lakini yeye akawa anaendenalo kusiko julikana. Baada ya hapo Magufuli ndiyo akaamua kumwekea goti shingoni ambapo Mbowe alisikika kwa shida akisema unaniua, lakini Magufuli akazidi kukandamiza huku wapambe wake wakishangilia kwa kusema yeye amekuwa mwalimu wa kufundisha wabunge kuziba midomo na vitambaa na kuwaambia wana Hai kuwa huyu mtu mlikosea si kidogo amekuwa shida ya kuleta maendeleo katika jimbo la Hai.
Magu akaona hiyo haitoshi akaamua kumziba kabisa na pua hili kuukatiza uhai wake pale aliposema kuhusu huyu jamaa alivyowatoa wabunge wake wote bungeni wakimbie Korona. Anasema korona ni mbaya lakini Mbowe ndiyo mbaya zaidi kwani alikuwa anataka kuutumia ukuu wake wa kambi rasmi bungeni watu wafungiwe ndani hili wafe na njaa, hili tamko lake alilowai kulisema huko nyuma litimie kuwa lazima Tanzania ibebe majeneza.
Magufuli aliendelea kufaya ukatili huo huku wana hai wakishangilia kwa kelele wakati uhai wa mboe ukitoweka kwa kuwaambia je mlimchagua kuja kususa bungeni au kujenga hoja kufikia maendeleo.
Magu huku akiwa amwmwekea goti na akiwa amemkazia macho usoni alisema huyu simwachi amenitesa sana maana alikuwa ananifunga miguu na mikono minyororo alafu natumwa nipeleke maji Hai nimeteseka sana sasa nammalizia. Mwisho wa kunukuu.
Wanahai huku wakishuhudia kifo hicho wameendelea nao kupigilia misumari juu ya jeneza kwa kusema hawajawai kumwana hapo tangia awe mbunge, hila wanamwona katika taharifa za habari na mambo ya kitaifa kama kususa bungeni na kujificha wakati wa korona na matumizi mabaya ya ruzuku. Mzee mmoja ambaye tulishindwa kupata jina lake yeye alisema kuwa licha ya kuwa ametuacha pia ni mpinafsi sana kwani ameifanya Hai kuwa kisiwa ambacho kinafikiwa kwa shida hivyo kwa kifo chake ukombozi umefika.
Pole rafikiPost kama hizi za kipuuzi usilete humu amfuta Mboe kwa hizo siesta au kwa lipi,acha upuuzi
Mbowe Kwishney.Leo hii Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na mgombea urais kupitia CCM bila ya huruma yoyote na kwa zaidi ya dakika 23 alimkaba Mbowe akiwa chini na kumwekea goti shingoni kwa muda wote huo na kusababisha kifo chake cha kisiasa kwa Mbowe kitu ambacho kimetafsiliwa kuwa ni uuaji kama uuaji mwingine.
Magufuli ambaye alianza taratibu kwa kumfyatua mtama na kumweka chini kwa kusema alimpa gari kubwa na zuri la gharama hili asaidiane nae katika kujenga nchi lakini yeye akawa anaendenalo kusiko julikana. Baada ya hapo Magufuli ndiyo akaamua kumwekea goti shingoni ambapo Mbowe alisikika kwa shida akisema unaniua, lakini Magufuli akazidi kukandamiza huku wapambe wake wakishangilia kwa kusema yeye amekuwa mwalimu wa kufundisha wabunge kuziba midomo na vitambaa na kuwaambia wana Hai kuwa huyu mtu mlikosea si kidogo amekuwa shida ya kuleta maendeleo katika jimbo la Hai.
Magu akaona hiyo haitoshi akaamua kumziba kabisa na pua hili kuukatiza uhai wake pale aliposema kuhusu huyu jamaa alivyowatoa wabunge wake wote bungeni wakimbie Korona. Anasema korona ni mbaya lakini Mbowe ndiyo mbaya zaidi kwani alikuwa anataka kuutumia ukuu wake wa kambi rasmi bungeni watu wafungiwe ndani hili wafe na njaa, hili tamko lake alilowai kulisema huko nyuma litimie kuwa lazima Tanzania ibebe majeneza.
Magufuli aliendelea kufaya ukatili huo huku wana hai wakishangilia kwa kelele wakati uhai wa mboe ukitoweka kwa kuwaambia je mlimchagua kuja kususa bungeni au kujenga hoja kufikia maendeleo.
Magu huku akiwa amwmwekea goti na akiwa amemkazia macho usoni alisema huyu simwachi amenitesa sana maana alikuwa ananifunga miguu na mikono minyororo alafu natumwa nipeleke maji Hai nimeteseka sana sasa nammalizia. Mwisho wa kunukuu.
Wanahai huku wakishuhudia kifo hicho wameendelea nao kupigilia misumari juu ya jeneza kwa kusema hawajawai kumwana hapo tangia awe mbunge, hila wanamwona katika taharifa za habari na mambo ya kitaifa kama kususa bungeni na kujificha wakati wa korona na matumizi mabaya ya ruzuku. Mzee mmoja ambaye tulishindwa kupata jina lake yeye alisema kuwa licha ya kuwa ametuacha pia ni mpinafsi sana kwani ameifanya Hai kuwa kisiwa ambacho kinafikiwa kwa shida hivyo kwa kifo chake ukombozi umefika.
28102020Hivi Hai kuna mgombea wa CCM kweli au anagombea Magufuli.
Pale Hai hakuna vichaa wakuipa CCM kura ata siku moja, huyo amepita hapo kama picnic tu
I can't breath!Leo hii Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na mgombea urais kupitia CCM bila ya huruma yoyote na kwa zaidi ya dakika 23 alimkaba Mbowe akiwa chini na kumwekea goti shingoni kwa muda wote huo na kusababisha kifo chake cha kisiasa kwa Mbowe kitu ambacho kimetafsiliwa kuwa ni uuaji kama uuaji mwingine.
Magufuli ambaye alianza taratibu kwa kumfyatua mtama na kumweka chini kwa kusema alimpa gari kubwa na zuri la gharama hili asaidiane nae katika kujenga nchi lakini yeye akawa anaendenalo kusiko julikana. Baada ya hapo Magufuli ndiyo akaamua kumwekea goti shingoni ambapo Mbowe alisikika kwa shida akisema unaniua, lakini Magufuli akazidi kukandamiza huku wapambe wake wakishangilia kwa kusema yeye amekuwa mwalimu wa kufundisha wabunge kuziba midomo na vitambaa na kuwaambia wana Hai kuwa huyu mtu mlikosea si kidogo amekuwa shida ya kuleta maendeleo katika jimbo la Hai.
Magu akaona hiyo haitoshi akaamua kumziba kabisa na pua hili kuukatiza uhai wake pale aliposema kuhusu huyu jamaa alivyowatoa wabunge wake wote bungeni wakimbie Korona. Anasema korona ni mbaya lakini Mbowe ndiyo mbaya zaidi kwani alikuwa anataka kuutumia ukuu wake wa kambi rasmi bungeni watu wafungiwe ndani hili wafe na njaa, hili tamko lake alilowai kulisema huko nyuma litimie kuwa lazima Tanzania ibebe majeneza.
Magufuli aliendelea kufaya ukatili huo huku wana hai wakishangilia kwa kelele wakati uhai wa mboe ukitoweka kwa kuwaambia je mlimchagua kuja kususa bungeni au kujenga hoja kufikia maendeleo.
Magu huku akiwa amwmwekea goti na akiwa amemkazia macho usoni alisema huyu simwachi amenitesa sana maana alikuwa ananifunga miguu na mikono minyororo alafu natumwa nipeleke maji Hai nimeteseka sana sasa nammalizia. Mwisho wa kunukuu.
Wanahai huku wakishuhudia kifo hicho wameendelea nao kupigilia misumari juu ya jeneza kwa kusema hawajawai kumwana hapo tangia awe mbunge, hila wanamwona katika taharifa za habari na mambo ya kitaifa kama kususa bungeni na kujificha wakati wa korona na matumizi mabaya ya ruzuku. Mzee mmoja ambaye tulishindwa kupata jina lake yeye alisema kuwa licha ya kuwa ametuacha pia ni mpinafsi sana kwani ameifanya Hai kuwa kisiwa ambacho kinafikiwa kwa shida hivyo kwa kifo chake ukombozi umefika.
Hatudanganyiki. Mbunge kai yake siyo kuleta maji jimboni ewe lumumba, hilo ni jukumu/kazi ya serikali. Kwasabb mbunge hakusanyi kodi bali serikali. Shubamiti!!!Jimbo linaloongozwa na mbunge tena mkuu wa kambi rasmi kukosa maji, hospital, barabara ni uzembe ulioje
Mawazo ya kuua hatari sanaLeo hii Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na mgombea urais kupitia CCM bila ya huruma yoyote na kwa zaidi ya dakika 23 alimkaba Mbowe akiwa chini na kumwekea goti shingoni kwa muda wote huo na kusababisha kifo chake cha kisiasa kwa Mbowe kitu ambacho kimetafsiliwa kuwa ni uuaji kama uuaji mwingine.
Magufuli ambaye alianza taratibu kwa kumfyatua mtama na kumweka chini kwa kusema alimpa gari kubwa na zuri la gharama hili asaidiane nae katika kujenga nchi lakini yeye akawa anaendenalo kusiko julikana. Baada ya hapo Magufuli ndiyo akaamua kumwekea goti shingoni ambapo Mbowe alisikika kwa shida akisema unaniua, lakini Magufuli akazidi kukandamiza huku wapambe wake wakishangilia kwa kusema yeye amekuwa mwalimu wa kufundisha wabunge kuziba midomo na vitambaa na kuwaambia wana Hai kuwa huyu mtu mlikosea si kidogo amekuwa shida ya kuleta maendeleo katika jimbo la Hai.
Magu akaona hiyo haitoshi akaamua kumziba kabisa na pua hili kuukatiza uhai wake pale aliposema kuhusu huyu jamaa alivyowatoa wabunge wake wote bungeni wakimbie Korona. Anasema korona ni mbaya lakini Mbowe ndiyo mbaya zaidi kwani alikuwa anataka kuutumia ukuu wake wa kambi rasmi bungeni watu wafungiwe ndani hili wafe na njaa, hili tamko lake alilowai kulisema huko nyuma litimie kuwa lazima Tanzania ibebe majeneza.
Magufuli aliendelea kufaya ukatili huo huku wana hai wakishangilia kwa kelele wakati uhai wa mboe ukitoweka kwa kuwaambia je mlimchagua kuja kususa bungeni au kujenga hoja kufikia maendeleo.
Magu huku akiwa amwmwekea goti na akiwa amemkazia macho usoni alisema huyu simwachi amenitesa sana maana alikuwa ananifunga miguu na mikono minyororo alafu natumwa nipeleke maji Hai nimeteseka sana sasa nammalizia. Mwisho wa kunukuu.
Wanahai huku wakishuhudia kifo hicho wameendelea nao kupigilia misumari juu ya jeneza kwa kusema hawajawai kumwana hapo tangia awe mbunge, hila wanamwona katika taharifa za habari na mambo ya kitaifa kama kususa bungeni na kujificha wakati wa korona na matumizi mabaya ya ruzuku. Mzee mmoja ambaye tulishindwa kupata jina lake yeye alisema kuwa licha ya kuwa ametuacha pia ni mpinafsi sana kwani ameifanya Hai kuwa kisiwa ambacho kinafikiwa kwa shida hivyo kwa kifo chake ukombozi umefika.
Mbowe alikuwa na wadhifa gani pale benki kuu? Pia naomba kiwango cha elimu cha mbowe na vyuo alivyosomea if possibleWashamba katika ubora wenu Mbowe akiwa kijana mdogo akiwa mfanyakazi Bank kuu alimiliki BMW brand new ufananishe na hilo aliloporwa na Jiwe
Sidhan kama siasa ni ugomvi tatizo la maji ,na mambo mengi zipo ktk kila Jimbo hapa Tanzania tatizo sio upinzani maana hata majimbo wanapotokea chama tawala wimbo ni ule ule siasa mbaya sana tafuta ela ishi na familia yako vemaMagufuli kiboko yao. Nimefurahi Sana, hatimaye Ukombozi unakuja. Jimbo linaloongozwa na mbunge tena mkuu wa kambi rasmi kukosa maji, hospital, barabara ni uzembe ulioje. Huyu mjasiriamali hakai hai, kule anakuja chaguzi kwa chaguzi huyu pongo atavuna alicho panda. Kashindwa hadi na mbatia wa vunjo,kule maji yapo at least, barabara na hospital kiasi. Saccos kwisha kabisa, na Sera zenu za ushoga shoga hakuna atakayewanunua hata kwa bure. Viva Magufuli.
Ndagha manafyaleLeo hii Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na mgombea urais kupitia CCM bila ya huruma yoyote na kwa zaidi ya dakika 23 alimkaba Mbowe akiwa chini na kumwekea goti shingoni kwa muda wote huo na kusababisha kifo chake cha kisiasa kwa Mbowe kitu ambacho kimetafsiliwa kuwa ni uuaji kama uuaji mwingine.
Magufuli ambaye alianza taratibu kwa kumfyatua mtama na kumweka chini kwa kusema alimpa gari kubwa na zuri la gharama hili asaidiane nae katika kujenga nchi lakini yeye akawa anaendenalo kusiko julikana. Baada ya hapo Magufuli ndiyo akaamua kumwekea goti shingoni ambapo Mbowe alisikika kwa shida akisema unaniua, lakini Magufuli akazidi kukandamiza huku wapambe wake wakishangilia kwa kusema yeye amekuwa mwalimu wa kufundisha wabunge kuziba midomo na vitambaa na kuwaambia wana Hai kuwa huyu mtu mlikosea si kidogo amekuwa shida ya kuleta maendeleo katika jimbo la Hai.
Magu akaona hiyo haitoshi akaamua kumziba kabisa na pua hili kuukatiza uhai wake pale aliposema kuhusu huyu jamaa alivyowatoa wabunge wake wote bungeni wakimbie Korona. Anasema korona ni mbaya lakini Mbowe ndiyo mbaya zaidi kwani alikuwa anataka kuutumia ukuu wake wa kambi rasmi bungeni watu wafungiwe ndani hili wafe na njaa, hili tamko lake alilowai kulisema huko nyuma litimie kuwa lazima Tanzania ibebe majeneza.
Magufuli aliendelea kufaya ukatili huo huku wana hai wakishangilia kwa kelele wakati uhai wa mboe ukitoweka kwa kuwaambia je mlimchagua kuja kususa bungeni au kujenga hoja kufikia maendeleo.
Magu huku akiwa amwmwekea goti na akiwa amemkazia macho usoni alisema huyu simwachi amenitesa sana maana alikuwa ananifunga miguu na mikono minyororo alafu natumwa nipeleke maji Hai nimeteseka sana sasa nammalizia. Mwisho wa kunukuu.
Wanahai huku wakishuhudia kifo hicho wameendelea nao kupigilia misumari juu ya jeneza kwa kusema hawajawai kumwana hapo tangia awe mbunge, hila wanamwona katika taharifa za habari na mambo ya kitaifa kama kususa bungeni na kujificha wakati wa korona na matumizi mabaya ya ruzuku. Mzee mmoja ambaye tulishindwa kupata jina lake yeye alisema kuwa licha ya kuwa ametuacha pia ni mpinafsi sana kwani ameifanya Hai kuwa kisiwa ambacho kinafikiwa kwa shida hivyo kwa kifo chake ukombozi umefika.