Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli amfuta rasmi Freeman Mbowe jimboni Hai

Kesho ngome nyingine ya saccos inakwenda kuanguka. CCM ni bonge la chama, na kiongozi wa demokrasia afrika nzima. Uchaguzi huu, utaweka Somo chungu kwa Mbowe na genge lake, Magufuli amewasonga mpaka visigino hampumui yani dah. Magufuli tano tena.
Watu hawaamui leo walishaamua.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Huyu mrundi bila majambaxi kama sabaya hana chake mwaka huu. Hayo angeyasema kwa warundi wangeelewa kakini hai???? Akanye kwanza. Jamaa kakonda kama ngonda
Shida ni kuwa watu hawawaelewi watu wanaoitwa wachaga! Hawako hivyo. Ngoja mtaona siku ya kutangaza matokeo!!
 
Nonesense in its totality
 
Mbowe alikuwa na wadhifa gani pale benki kuu? Pia naomba kiwango cha elimu cha mbowe na vyuo alivyosomea if possible
He was a Bank Clerk. Highest qualification "O" level div 4, "A" level failure.
 
Kamfuta kwa kutumia mbinu hizi chafu.
 
Kama unautaka ukweli in huo hapo chini
 
Hamia jimbo la Kongwa la Spika utapata hivyo vyote
 
Hatudanganyiki. Mbunge kai yake siyo kuleta maji jimboni ewe lumumba, hilo ni jukumu/kazi ya serikali. Kwasabb mbunge hakusanyi kodi bali serikali. Shubamiti!!!
Mbunge analeta connection kutoka kwenye main supply. Hai imetwaliwa. Kwa jinsi wananchi wa hai walivyopigika na makucha ya yule dhalimu mjasiriamali kura watatoa tu. Maji, hospital, barabara zitakuwa kama ulaya akija safisha.
 
magu hawezi kuwa shujaa never on a Earth..Hahaha Tena wa kukumbukwa sahau my friend na jiwe si lolote bali mnyonya damu tu hana miujiza anaforce kila kitu kiwe njia yake...Ogopa sana matendo yako yakishindwa jieleza Yani wew ni uchafu ndani ya takataka
 
Anazikiwa wapi ? mwandishi
 
Washamba katika ubora wenu Mbowe akiwa kijana mdogo akiwa mfanyakazi Bank kuu alimiliki BMW brand new ufananishe na hilo aliloporwa na Jiwe
Sasa subiri huo umiliki wa BMW kama italeta maji, barabara na hospitali hapo Hai.
Kweli sikujua unawaza kijinga hivi.
 
Jamani majimbo ya Songea wabunge na madiwani wote ccm lakini hakuna kitu, yote kwa yote ni Magufuli katutelekeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…