Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aomba kura mtandaoni

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aomba kura mtandaoni

Japo mabadiliko ni muhimu ila ni upuuzi kubadilisha tairi mbovu kwa kuweka ilio expire!

MAGU GANG WORLDWIDE (MGW)
 
Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.

MAGUFULI4LIFE.
Unaitaja Libya katika kumtetea Magu? Unajua kwa nini Libya walimchukia Gaddafi kiasi cha kumuchomekea vijiti nyuma kabla ya kumuua? Alifanyia watu ushenzi usio andikika akijiona yeye ndiye Alfa na omega.

Sasa huyu naye anafanya ya Gaddafi pia?
 
Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.

MAGUFULI4LIFE.
Ndivyo mlivyomdaganya akadaganyika... Sasa kihoro kinsmfanya Kila third arudi garage!!
 
Amsterdam anakazi kubwa ya kumbembeleza baby wake siku 12 zijazo. Naskia kaweka kambi TZ[emoji6][emoji6][emoji23][emoji23]
 
Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.




MAGUFULI4LIFE.
Na wanatakiwa kuwa wavumilivu,maana Magufuli lazima atarudi tu Ikulu😃.
Wajitahidi tu kuhakikisha wanaingiza angalau wabunge watano bungeni lasivyo serikali itakuwa Ni kijani tupu, na titamuongezea Muda Rais wetu.
 
Kabanwa vibaya
2431549_09886.jpg

".....I can't breath" JPM, The CCM outgoing President of Tanzania(2015~2020).
 
Na wanatakiwa kuwa wavumilivu,maana Magufuli lazima atarudi tu Ikulu😃.
Wajitahidi tu kuhakikisha wanaingiza angalau wabunge watano bungeni lasivyo serikali itakuwa Ni kijani tupu, na titamuongezea Muda Rais wetu.
You're JUST A DAY DREAMER from Lumumba street.
 
Back
Top Bottom