Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magonjwa MtambukaJPM umeshapata mitano tena.
"maji kushingo" kabila letu tunasemaga!!Majibu aliyopewa sasa kule Twitter ndiyo utajua ni kiasi gani huyu anachukiwa.
View attachment 1601637
Unaitaja Libya katika kumtetea Magu? Unajua kwa nini Libya walimchukia Gaddafi kiasi cha kumuchomekea vijiti nyuma kabla ya kumuua? Alifanyia watu ushenzi usio andikika akijiona yeye ndiye Alfa na omega.Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.
MAGUFULI4LIFE.
Ndivyo mlivyomdaganya akadaganyika... Sasa kihoro kinsmfanya Kila third arudi garage!!Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.
MAGUFULI4LIFE.
Huyu Jiwe alitamani angekuwa 'malaika' angezima social platforms, leo kawa MPUMBAVU na 'kuikimbilia' hiyohiyo mitandao ya kijamii huku akiwa na hofu,woga na kihoro Cha kufurushwa Ikulu.Majibu aliyopewa sasa kule Twitter ndiyo utajua ni kiasi gani huyu anachukiwa.
View attachment 1601637
Tayari umeshapanic, mtapasuka vichwa safari hii kama hii hapa si hatari kabisaMataga babu yako
Ni sawa kujifurahisha kwenye mitandao. Wapiga kura wengi wapo vijijini na hawaoni kinachoendeleaf mtandaoni.Tayari umeshapanic, mtapasuka vichwa safari hii kama hii hapa si hatari kabisaView attachment 1601832
Na wanatakiwa kuwa wavumilivu,maana Magufuli lazima atarudi tu Ikulu😃.Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.
MAGUFULI4LIFE.
Povu la nini MatagaMataga babu yako
Kabanwa vibaya
You're JUST A DAY DREAMER from Lumumba street.Na wanatakiwa kuwa wavumilivu,maana Magufuli lazima atarudi tu Ikulu😃.
Wajitahidi tu kuhakikisha wanaingiza angalau wabunge watano bungeni lasivyo serikali itakuwa Ni kijani tupu, na titamuongezea Muda Rais wetu.
Whatever the case,Magufuli will be entering the palace any time after the so called election.You're JUST A DAY DREAMER from Lumumba street.
Labda kwa wizi Kama kawaida yenuWazalendo na wapenda maendeleo ya Tanzania tutamchagua JPM kwa kishindo.
October 28 kura zote za ndio ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
LaaaHao inzi wa kijani hawajitambui.