Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utachaguliwa na walamba viatu kama wewe na wengine wanaovizia teuzi.Wazalendo na wapenda maendeleo ya Tanzania tutamchagua JPM kwa kishindo.
October 28 kura zote za ndio ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Hakuna namna Mkuu kura yako ni muhimu tafadhali October 28th kura zote za ndio ni kwa Mzalendo wa kweli JPM.utachaguliwa na walamba viatu kama wewe na wengine wanaovizia teuzi.
Tundu A. Lissu is a Game Changer and a Hero of our Time.
Maendeleo yapi ndg?Wazalendo na wapenda maendeleo ya Tanzania tutamchagua JPM kwa kishindo.
October 28 kura zote za ndio ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Huyu Baba la baba si alisema hata fanya kampeni? Leo amekuwa wa kuomba kura mtandaoni??Majibu aliyopewa sasa kule Twitter ndiyo utajua ni kiasi gani huyu anachukiwa.
View attachment 1601637
Moto umezidi jiko.Huyu Baba la baba si alisema hata fanya kampeni? Leo amekuwa wa kuomba kura mtandaoni??
Kura yangu tayari anayo bwashee!Majibu aliyopewa sasa kule Twitter ndiyo utajua ni kiasi gani huyu anachukiwa.
View attachment 1601637