Kinachowatesa nyie ni kufikiria mambo yataendeshwa kwa mazoea tena. Inajulikana wako maadui wa ndani na nje ya Taifa la Tanzania. Maadui wa ndani wanao mamluki wao kwenye mifumo ya uendeshaji nchi, bila kwenda kwa chenga za mwili huwezi fika. Vita ya ndani ndivyo inavopiganwa hivyo.
JPM aliye kwenda kumzika Mkapa wakati wa kurudi akatembea kwa Miguu kuvuka daraja la Mkapa na akapokea zawadi ya jogoo Mkiru, akatumbua wakutumbuliwa. Ndio unaleta propoganda zako za kilaghai hapa eti anaogopa.
Kwani mlipanga kufanya nini akiwa anafanya kampeni huko Kusini apaka ikuume hivi kwa yeye kutoenda mikoa ya kusini?
Wezi na Mafisadi waliozalishwa Tanzania awamu hasa za 3 na 4 mmegeuka kuwa maadui wa Taifa hili kwa kujitahidi kukwamisha serikali ya awamu ya 5. Nyie ni wajinga kabisa hamna hata akili. Kama nyie kipindi chenu mlisimama hamkukwama pamoja na kupinduliwa kwa pambio la chama. Vipi sasa mfikiri hawa wa awamu ya 5 watawaangalia tu ili muwafanye waonekane mbele ya macho ya Watanzania wameshindwa?
Mambo katika Taifa hili hayaendeshwi kwa mazoea tena, jueni hivyo na mkae mtulie. Unaweza kumuita JPM muoga, Rais aliye thubutu kuing'oa accasia london stock exchange? Licha ya vitisho mlivyokuwa mwaviendeleza kwa propoganda zenu uchwara?
Akaikoa nchi ya Tanzania kutoka kubadilishana dhahabu na misaada ya vyandarua vya mbu. Eti, eti, eti, katumwa na Bahima, huna hata aibu wala soni wewe, hujishtukii kutumika kama tambara la kufutia shombo. Umelipwa nini kinachokufanya kudhalilisha utu wako na heshima yako kiasi hiki? Mtu aliyetumwa na Bahima angezuia madini yetu yasiishie Rwanda na kwengineko? Angejenga ukuta Mererani.?Angehangaika na Bwawa lilolomshinda Nyerere ubunifu wa kulijenga na huku nchi iikiwa na raslimali tele za kuwanufaisha Amiri Jamal na wakina Sabudu? Waliomfuatia Nyerere nao wakajibaraguza kulijenga ili wachote raslimali zilizojaa selous wakishirikina na mabwana zao wazungu na waarabu, sijui wahindi wanao waamini na kuwanyenyekea kama miungu -idols.
JOHN POMBE MAGUFULI ..AMIRI JESHI MKUU MUOGA KULIKO WOTE KUPATA KUTOKEA TANZANIA ....ANAONEA WANANCHI WANYONGE ...KUFICHA UOGA WAKE NA KUJIVIKA USHUJAAA ....LAKINI IKITOKEA VITA YA KWELI ANAJIFUNGIA NDANI ......AMEOGOPA KWENDA LINDI NA MTWARA KWAKUA TU ANAOGOPA WANANCHI NA KOROSHO ZAO LAKINI KIKUBWA ANAOGOPA WAASI WA MSUMBIJI [ WALIOKUWA MKIRU].....
LAKINI NI RAIS AMBAYE AMEHARIBU SANA MFUMO WETU WA ULINZI NA USALAMA KWA KUPANDISHA VYEO KWA NEPOTISM , LEO INAKUJA VITA YA KWELI VIJANA HAWANA UWEZO ...
HAIJAWAHI KUTOKEA KWENYE MFUMO WETU WA ULINZI ...KUWAKATA PESA YA MAFUNZO [ADA] ASKARI WAKIENDA KWENYE MAFUNZO YA WELEDI ....HAYO MAFUNZO WANAFANYA ILI KULINDA NCHI ....WEWE UNAWAKATA PESA ..INAONDOA SHAUKU YA VIJANA KWENDA KOZI ...
MAGUFULI KWA MIAKA MITANO MFULULIZO AMEKUWA HAPELEKI KWENYE DETACHMENT ZA USALAMA ZENYE VIFAA VYA KIMIKAKATI PESA KWA AJILI YA ROUTINE TESTS , MAINTANANCE AND REPAIR ....
NDEGE ZETU NA MELI VITA HAZIPEWI MAFUTA YA KUFANYA RECONNAISSANCE ....HAO WAASI WAMEACHWA HADI WANATAMBA KWA AJILI YA UBAHILI WAKE ...
MARAIS WALIOPITA WALITUMIA PESA NYINGI SANA KUNUNUA VIFAA VYA GHARAMA NA KIMIKAKATI HADI TUKAWA TUNAOGOPWA LEO HII AMESHINDWA KUTOA PESA YA KUVIHUDUMIA HAVIKO COMBAT WORTHY ....RAIS ATAKAYEKUJA ITABIDI ATUMIE GHARAMA KUBWA SANA KURUDISHA FIRE POWER LEVEL YA TANZANIA .......
BARAZA LA USALAMA WA TAIFA LIMEKUWA NA WATU WAOGA SANA NDIO WAMETUFIKISHA HAPA KWA KUSHINDWA KUMSHAURI KWA WELEDI AU HATA KUWA WAKALI... PALE INAPOBIDI ..
KUNA MARAIS HUWA WANAKUWA MAMLUKI WENYE LENGO LA KUHARIBU MFUMO WA KIULINZI ILI KUFANYA NCHI IANGUKE KWA WATU WALIOMTUMA ....KWA UHARIBIFU ULIOFANYIKA KWENYE MFUMO RASILIMALI WATU NA VIFAA VITA .....LEO HII HATUNA UWEZO WA KUVIMBA KAMA SUPPER POWER ...UNAWEZA KUHISI KATUMWA NA BAHIMA KAMA GOBERCHOV ALIVYOTUMWA KUANGUSHA NGUVU ZA USSSR .......