Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aomba kura mtandaoni

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aomba kura mtandaoni

Wafanyakazi ambao hatupandishwa madaraja yetu kwa haki..wala hatujaongezewa mishahara tangu kipindi cha JK au watumishi gani unaongelea tuliopandishiwa na bodi ya mikopo kutoka 8 mpk 15 asilimia na retantion fee ya aslimia 6.....
labda kama ww ni mtumishi wa kuteuliwa
Kupandisha madaraja kuna vigezo sio kwamba watu wanapandishwa holela; mfano kuna muda wa miaka ambayo lazima uwe umekaa katika cheo kimoja, pili kuna cheo kina sifa ya elimu lazima uwe nayo mfano wewe uliingia kazini na degree ya kwanza na ukapanda cheo mara moja kupanda tena ili kuwa senior lazima uwe na degree ya pili.

Lakini kwa uhakika watumishi mwezi Mei 2019 walipandishwa madaraja na mwaka huu wamepadishwa pia.
 
Hatuongelei hizo taasisi. Tunamaanisha raia wa kawaida, raia wema kufanyiwa uovu Kama:
Kutekwa, kuteswa, kubambikiziwa kesi zisizo na dhamana, kuuawa, nk
Kutekwa mabasi yametekwa sana kipindi cha nyuma, kuteswa Shinyanga kuna jamaa aliwafungia ndani watoto wake wawili kwa muda wa miaka miwili ili wajue kiingereza,kubambikiwa kesi huwa nasikiaga tu ila binafsi sina ushahidi wowote wa kuithibitishia mahakama kwamba mtu huyu kosa hilo hakufanya. Kuuawa tulishuhudia Kibiti na sehemu zingine zingine. Hiyo nk. na yenyewe labda ungeielezea.



MAGUFULI4LIFE.
 
Kupandisha madaraja kuna vigezo sio kwamba watu wanapandishwa holela; mfano kuna muda wa miaka ambayo lazima uwe umekaa katika cheo kimoja, pili kuna cheo kina sifa ya elimu lazima uwe nayo mfano wewe uliingia kazini na degree ya kwanza na ukapanda cheo mara moja kupanda tena ili kuwa senior lazima uwe na degree ya pili.

Lakini kwa uhakika watumishi mwezi Mei 2019 walipandishwa madaraja

Kupandisha madaraja kuna vigezo sio kwamba watu wanapandishwa holela; mfano kuna muda wa miaka ambayo lazima uwe umekaa katika cheo kimoja, pili kuna cheo kina sifa ya elimu lazima uwe nayo mfano wewe uliingia kazini na degree ya kwanza na ukapanda cheo mara moja kupanda tena ili kuwa senior lazima uwe na degree ya pili.

Lakini kwa uhakika watumishi mwezi Mei 2019 walipandishwa madaraja na mwaka huu wamepadishwa pia.
yani ndugu yangu utaratibu unajulikana huo why now kipind cha JPM mbn kipindi cha JK kulikuwa hakuna utaratibu..ni hivi labda kama mwenzetu umefanikiwa kupanda ila siyo issue ya elimu inawahusu wahasibu na vyuo hasahasa ila wengine wote ni degree au diploma..ila issue ya mkopo hauiongelei wala kupandishwa mshahara ndani ya miaka mitano..itakuwa mwenzangu ww ni wakuteuliwa maana unapokea Leader's sallary scale na nyumba pamoja na gari
 
Nimekuuliza una miaka mingapi? Hauna jibu! Labda nikuulize kama unaushahidi au ndio zile kahawa na kashata. Kwanza unajua kweli maana ya serikali?




MAGUFULI4LIFE.
Dogo, naona we ni mgumu kuelewa!

Hivi mtu aliyafanya ufisadi wa kutisha, kanunua wapinzani kwa mabilioni ya sh za walipakodi maskini, unathubutu kusema "....4life" ?!!!

Embu hayo kawambie wazazi, ndugu, jamaa na marafiki wa Alphonce Mawazo, Azory Gwanda, Ben Sa8, na wengineo wengi wa kwny viroba, nk
 
Dogo, naona we ni mgumu kuelewa!

Hivi mtu aliyafanya ufisadi wa kutisha, kanunua wapinzani kwa mabilioni ya sh za walipakodi maskini, unathubutu kusema "....4life" ?!!!

Embu hayo kawambie wazazi, ndugu, jamaa na marafiki wa Alphonce Mawazo, Azory Gwanda, Ben Sa8, na wengineo wengi wa kwny viroba, nk
Kama mnawanachama wanaoweza kununulika msikatae mkiambiwa nchi mtaiuza kwa mabeberu tukiwakabidhi mihuri ya nchi. Ingawa sijui kama unaushahidi wa madai yako. Sisi tunawaangalia kwa jicho pana zaidi.




MAGUFULI4LIFE.
 
Wale waovu woote wanaonunulika akina waitara tayari walinunuliwa na wamo ccm. Kule CDM hakuna makapi tena. Hivyo ccm haifai
Ushahidi wa hoja hii unao? Wewe bwana bado mdogo kufanya maamuzi sahihi hasa ngazi ya taifa. Labda nikujulishe kuwa hata W. Slaa, Edwin Mtei, na wengine wengi tu mwanzo walikuwa ccm ila kwa kukidhi matakwa yao ya nafsi walihama chama. Sasa nyie siasa hamzijui mtu akitoka kwenu kwenda vyama vingine mnamuita msaliti na akienda ccm mnasema kanunuliwa. Kwakweli mmejawa chuki tu ila mkiondoa chuki mtaona JPM kafanya nini.



MAGUFULI4LIFE.
 
Back
Top Bottom