wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Huko kote tunajua wamejaa TISS ndiyo maana haya yanafanyika.
Tutaanza kuwataja hadharani.
Tutaanza kuwataja hadharani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafiki KAZINI ...Ben Saanane kapote mpaka leo eti mnahubiri haki...Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na Masista wa Bikira Maria of Kilimanjaro (Sisters of our lady of Kilimanjaro) Moshi mjini mkoani Kilimanjaro wakati akitoka kwenye mkutano wa Kampeni za CCM.
View attachment 1607785
Masista hao walikuwa wamejipanga pembezoni mwa barabara.
Licha ya mazungumzo, masista hao walimuombea Magufuli baraka.
View attachment 1607783
View attachment 1607784
well NOTED Mkuu...Ndio maana wengine tumepumzika kwenda makanisani.. Hao Masista wanajua Mke wa Azory Gwanda au baba na Mtoto Wa Ben Saanane wana hali gani?
Mungu atawapimia kwa kiwango kinachostahiki!
Usiwavunjie heshima kiasi hicho, waheshimu tu.Hawa masister ndiyo maana kanisa liliamua wasiolewe maana akili zao ni kama za Makonda
Kwani NEC inanisimamia maslahi ya nani?Ndiyo watamtangaza?
Maono yapi? UnachekeshaMagufuli ni mbeba maono ya Watanzania
DuhHawa masister ndiyo maana kanisa liliamua wasiolewe maana akili zao ni kama za Makonda
Maneno ya mitaani kwenye vijiwe vya kahawa.Wanasimama wakiwa hawana bikira,
Lissu ndie Top
We unaishi Mbinguni sio?Maneno ya mitaani kwenye vijiwe vya kahawa.
ingekuwa TL ndio anaombewa hivyo na hao masista wangehojiwa uraia wao na uhamiaji!.
Wangewaombea zaidi akina Azory, Ben Saa Nane, Lwajabe na Akwilini. Ndio maana maombi mengine yanaishia Kona Bar Sinza.Magufuli ni mbeba maono ya Watanzania
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na Masista wa Bikira Maria of Kilimanjaro (Sisters of our lady of Kilimanjaro) Moshi mjini mkoani Kilimanjaro wakati akitoka kwenye mkutano wa Kampeni za CCM.
View attachment 1607785
Masista hao walikuwa wamejipanga pembezoni mwa barabara.
Licha ya mazungumzo, masista hao walimuombea Magufuli baraka.
View attachment 1607783
View attachment 1607784
Wangewaombea zaidi akina Azory, Ben Saa Nane, Lwajabe na Akwilini. Ndio maana maombi mengine yanaishia Kona Bar Sinza.
Laana zingine uzitafutia mwenyewe halafu unalaumu wachawiHawa masister ndiyo maana kanisa liliamua wasiolewe maana akili zao ni kama za Makonda