kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Angekuwa anajenga uwanja Chato tu na kusahau kujenga mikoa mingine mimi ningekuwa wa kwanza kumpinga.Kwahiyo CCM mnajua mna tatizo la upendeleo kwa viongozi wenu??Mbona Nyerere hakuwa hivyo?Hivi kungekuwa na kiwanja msoga au Butiama,halafu ingekuwaje?Usiwe mjinga!
Tuambieni tokea uwanja ukamilike,kuna route gani ya ndege inaenda Chato?Kama sio ndege ya Rais pekee!
Uwanja haukuwepo hata kwenye bajeti,halafu mnatuletea poroja hapa!
Kwahiyo Lissu akiingia madarakani akaenda kujenga kiwanja kijijina alikozaliwa utaona ni sawa?
Chato yamefanyika mengi kama barabara,shule,umeme,zahanati nk lakini hakuna anayeyasema hayo kwasababu yanalenga kuhudumia wanachato!Kwanini watu wanapigia kelele uwanja na si hayo mengine?Mfano Kasulu alipopita JPM juzi,pamechangamka na ni mji wa kibiashara sana kuliko kibondo na chato!Lakini kuna uwanja wa ndege wa vumbi tu,ni eneo limetengwa kwa ajili ya matumizi ya baadae!
Hebu angalia mji mkubwa kama Kahama kukosa uwanja wa ndege halafu eti chato ina uwanja!
Kwenye hili kulitetea mtaonekana wajinga!
Hayo ya kina Msuya sitaki kwani serikali ilikuwa ya chama gani?Si ndio ninyi wenyewe?
Tunaongelea ya JPM kwasababu ni ya sasa!
KWANI KUNASHIDA GANI KUJENGA UWANJA CHATO?
KWANI CHATO SIO TANZANIA?
KWANI UWANJA WA NDEGE CHATO SI UWANJA WAWATANZANIA WOTE?
KWANI UWANJA WA CHATO NI MALI YA MAGUFULU NA FAMILIA YAKEEE??
Ingekuwa hivyo basi uwanja ungeoaswa kujengwa kahama kama alternative ya Chato!Tembea uone,sio unahadithiwa tu!Chato kwenye magari ya kuhesabu!Mahitaji ya uwanja wa ndege chato yanaweza kuja kuwepo baadaye sana yaani miaka mingi ijayo!Sasa tuna resources chache,kwanini pasingetengwa eneo na wakati utakapofika wa mahitaji ya huduma hiyo ndio pakajengwa uwanja?Kwani usipojenga leo huwezi kujenga tena baada ya miaka 15 au 20?Hizo pesa zingeenda kujenga uwanja sehemu yenye mahitaji kwa sasa,huoni kwamba tungeweza kuzalisha fedha kupitia uwanja huo ambazo baadaye zingeenda kujenga chato au kwingineko kulingana na mahitaji ya wakati huo?Tembeeni muone miji ilivyo na haina uwanja wa ndege halafu linganisheni na chato!Bold and clear,chato tumeenda kuzika fedha kwa miaka hii ya karibuni!Ninachoona hapa ni kutetea upande na si hoja iliyoko mezani!Angekuwa anajenga uwanja Chato tu na kusahau kujenga mikoa mingine mimi ningekuwa wa kwanza kumpinga.
Anajenga viwanja vya ndege kila kona ya Tanzania, anapanua bandari zote muhimu.
Anajenga meli mpya na kukarabati za zamani. Mahospitali kila mkoa, huduma nyingi za kijamii zinaboreshwa.
Uwanja wa Chato utakuja tu kuwa muhimu kwani ndio kwanza watanzania tupo milioni 59 hatujafikia milioni 190 kama Nigeria.
Mimi nauona uwanja wa ndege Chato kwanza kama alternative ya Mwanza airport pili nauona katika mtazamo wa fursa ya kiuchumi yenye tija kwa Taifa.
Chato utakuwa mji mkubwa siku zijazo.Ingekuwa hivyo basi uwanja ungeoaswa kujengwa kahama kama alternative ya Chato!Tembea uone,sio unahadithiwa tu!Chato kwenye magari ya kuhesabu!Mahitaji ya uwanja wa ndege chato yanaweza kuja kuwepo baadaye sana yaani miaka mingi ijayo!Sasa tuna resources chache,kwanini pasingetengwa eneo na wakati utakapofika wa mahitaji ya huduma hiyo ndio pakajengwa uwanja?Kwani usipojenga leo huwezi kujenga tena baada ya miaka 15 au 20?Hizo pesa zingeenda kujenga uwanja sehemu yenye mahitaji kwa sasa,huoni kwamba tungeweza kuzalisha fedha kupitia uwanja huo ambazo baadaye zingeenda kujenga chato au kwingineko kulingana na mahitaji ya wakati huo?Tembeeni muone miji ilivyo na haina uwanja wa ndege halafu linganisheni na chato!Bold and clear,chato tumeenda kuzika fedha kwa miaka hii ya karibuni!Ninachoona hapa ni kutetea upande na si hoja iliyoko mezani!
Kwanini hatuwapi wapinzani majibu ya hoja zao?We subili siku mkifika Chato muwambie kwa nini wao hahitaji maendeleo
Ati tunapigania Ufisadi? Nani kasema?Kwanini manunu ya hizo ndege hawataki ya kaguliwe?
Jamaa anapiga pesa vibaya sn kupitia manunuziAti tunapigania Ufisadi? Nani kasema?
Nchi yetu bado imegeuzwa kua shamba la bibi
Swali jingine kwann uwanja ujengwe Kijijini kwa rais na siyo Geita mjini ama Katoro?1.Tenda ya kununua ndege ilitangazwa lini maana ndiyo utaratibu wa manunuzi ya umma?
2.Kwanini Kampuni inayojenga uwanja wa ndege wa Chato ni ya mume mwenza na mgombea wenu? Taratibu za tenda zilifuatwa?
Tangu aingie madarakani wafanyakazi wa tanroads ni miungu watu.hawatumbuliwi, ni kupandishwa vyeo kila kukicha. Kuna mama mmoja Yuko ubalozini YEMEN. Alipanda Kama uyoga madudu ni mengi kupita kiasi.Swali jingine kwann uwanja ujengwe Kijijini kwa rais na siyo Geita mjini ama Katoro?
Ufisadi umeanza zamani sana Tanroads.Tangu aingie madarakani wafanyakazi wa tanroads ni miungu watu.hawatumbuliwi ,ni kupandishwa vyeo kila kukicha. Kuna mama mmoja Yuko ubalozini YEMEN. Alipanda Kama uyoga madudu ni mengi kupita kiasi
Punga lingine hili hapaWe subili siku mkifika Chato muwambie kwa nini wao hahitaji maendeleo
Sishangai hata picha uliyo weka inaweza kuwa ya kwakoPunga lingine hili hapa