Simba zee 33
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 1,374
- 1,564
Sasa kwa sababu ni biashara ya hasara Ndio tunahitaji Ndege?ATCL ina madeni mengi sana. Kama ndege zingeinyizwa huko lazima zingechukuliwa na wadai. Airline nyingi zina hasara. Ina maana sababu ya hasara ndio hatuhitaji ndege?