Kwa mara ya kwanza mh. Rais anakubaliana na maelezo aliyowahi kuyatoa Gwajima kuwa jina halisi la aliewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Far ni Bashite!Nimemsikia ndugu Rais kila mara akimnadi mgombea wa CCM jimbo la Kawe, Askofu Gwajima akisema kwamba wanakawe wamchague Gwajima kwa sababu ni mkweli.
Mtazamo huu wa Rais umenifanya niulize wafuatiliaji wa mambo, hapa jukwaani juu ya ukweli wa Gwajima.
Kabisa yaaaniAnamaanisha kuwa kauli ya Gwajima kuwa Islam ni dini ya majini na Catholic ni dini mpinga Kristo ni kauli za kweli kabisa.
Waislam na wakatoloki wa Kawe tarehe 28 October tuna jambo letu.
Ni mkweli ndio alibainisha ujambazi cloudd fm na mkuu wa mkoa bashite, JPM akajifanya haelewi.Nimemsikia ndugu Rais kila mara akimnadi mgombea wa CCM jimbo la Kawe, Askofu Gwajima akisema kwamba wanakawe wamchague Gwajima kwa sababu ni mkweli.
Mtazamo huu wa Rais umenifanya niulize wafuatiliaji wa mambo, hapa jukwaani juu ya ukweli wa Gwajima.
Nimemsikia ndugu Rais kila mara akimnadi mgombea wa CCM jimbo la Kawe, Askofu Gwajima akisema kwamba wanakawe wamchague Gwajima kwa sababu ni mkweli.
Mtazamo huu wa Rais umenifanya niulize wafuatiliaji wa mambo, hapa jukwaani juu ya ukweli wa Gwajima.