Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Hiyo ni tasisi ya Urais ya JMT .Naona mzee anajisahahu sana mara zote anajikuta anahisi yupo kijijini kwao chato akipiga stori na washkaji na maclassment wake wa Darasa saba enzi hizo ambao hadi leo wapo pale chato wakifanya shughuli za kiuchumi na kijamii.
Sawa ila kwa umri wake anatakiwa ajiheshimu,tena ni Rais mstaafu mtarajiwa.Hakuna mwanaume konki ambaye hawazii katikati weweee!. Iwe kwa mkeo au mchepuko, katikati ndo burudani isiyo na mshindani duniani
Ccm hamnaga makamanda.ni magamba.Kesho karibu Babati kamanda
Kwa kupigwa kwake taifa linakombolewa dhidi ya ukoloniKwa hiyo mtu akitandikwa risasi ndio tumipigie kura [emoji3][emoji3]
Ingekuwa sifa za kuwa Rais ni kutandikiwa risasi
Basi majambazi yangeshashika Urais Tanzania
Msaliti wa Nchi atapigiwa kura na robert tu
yaani we uko kama umelogwa, chochote akisemacho Jiwe LAZIMA uunge mkono no mata what...utumwa mbaya sana!!!.Rais Magufuli ni kipenzi cha Watanzania
Kura zote 98% kwa Rais Magufuli
Arusha hatutaki Chadema imetunyanyasa sana
Kwa kupigwa kwake taifa linakombolewa dhidi ya ukoloni
Hizo siyo jokes, ndivyo alivyo.Amesha chomekea jokes zake pendwa.
Safi sana mzee JPM hizi ndizo fursa ambazo watanzania wanazipenda. Unalala karatu watanzania wananufaika.Mgombea wa urais Dr. John Pombe Magufuli amewaahidi wakazi wa Karatu kulala wilayani hapo alipokuwa akiendelea na kampeni za kutafuta urais mkoani Arusha.
Rais Magufuli ametoa ahadi hiyo na kuonyesha uwezekano wa kujumuika na wakazi wa Karatu usiku mitaani na kuwahimiza wafanye biashara kutokana na ujio wake.
Rais Magufuli alinukuliwa akisema "Leo nitalala hapa hapa Karatu kwahiyo wasaidizi wangu muelewe hapa sitoki, kwahiyo tutaonana kwenye mitaaa watu mfanye biashara kama bia zitanyweka, inawezakana watu wakapata wachumba na wake kutoka kwa wasaidizi wangu"
View attachment 1610674
Karatu kuna wanawake weupe tambua hiloMh! haya, hii inafikirisha sana..
Kwanini mzee meko leo kaamua kupiga kambi na kulala hapo karatu??
Kuna mambo mengi yani leo hapatalalika ukizingatia kuwa jimbo la karatu tangu mfumo wa vyama vingi umeanza limekuwa likishikiliwa na upinzani kwa miaka yote tangu mwaka 1995..! Hapo lazima usiku huu ni mikakati, maagizo, na hujuma zote zitasukwa ili kuhakikisha kuwa ccm wanalirudisha hili jimbo kwa vyovyote vile...!
j pm alituambia muda fulani ukifika tutakuwa tumeondoka mjini kwa kutosomesha namba ss na yy zamu yake baada ya Oct 28 atakuwa atakuwa amerudi kijijini kwaoRais Magufuli ni kipenzi cha Watanzania
Kura zote 98% kwa Rais Magufuli
Arusha hatutaki Chadema imetunyanyasa sana
Kwahiyo hapo ulipoweka furushi lako ndio hawataki cdm,dada umejaliwa hatarii nipe connection nikuoeRais Magufuli ni kipenzi cha Watanzania
Kura zote 98% kwa Rais Magufuli
Arusha hatutaki Chadema imetunyanyasa sana
Anapenda sana chini huyu mzee wenuRais Magufuli ni kipenzi cha Watanzania
Kura zote 98% kwa Rais Magufuli
Arusha hatutaki Chadema imetunyanyasa sana
We jidanganye, mabeberu niambie hapo hulipo ni kitu gani humevaa hakitoki kwa mabeberuLabda ufanye maridhiano na mabeberu aliyochukua fedha zao kwa ahadi kuwa atapata uongozi. Atafanya maridhiano nao wamruhusu kurudi kwao