Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
- Thread starter
- #21
Hajui hata kwa nini bei ya sukari ni sh elfu tatu bara na Zanzibar elfu na mia tano,atajua nini?Kwani Gwajima anasema je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajui hata kwa nini bei ya sukari ni sh elfu tatu bara na Zanzibar elfu na mia tano,atajua nini?Kwani Gwajima anasema je?
Hajui hata kwa nini bei ya sukari ni sh elfu tatu bara na Zanzibar ekfu na mia tano,atajua nini?
Kauli zake za "kwanini yeye tu asipewe mingine mitano kama wenzake waliomtangulia"...ni ishara tosha ameona wahudhuriaji hawajaja kwa ridhaa yao isipokuwa kwa janjajanja ya Polepole & Co.Inawezekana maana kama siku tatu ana huzuni sana.
Sukari kilo Tsh 3000/ kwa sababu Halima Mdee ni Mbunge. Huyo ndo mchungaji msomi,,ngazi ya PhD...anayekula kondoo wakeKwani Gwajima anasema je?
Hahahahah!! Ile clip inamuonesha Gwajiboy alivyo kichwa maji, yaani sufuri kabisa! Yule babu kampelekesha hadi anavaa kofia haimuenei.Hajui hata kwa nini bei ya sukari ni sh elfu tatu bara na Zanzibar elfu na mia tano,atajua nini?
Kweli ndio maana wanaccm wenyewe wameanza kumshukuru Mungu kutuletea Tundu LissuWasipomdanganya wanatumbuliwa na wanakuwa sio wazalendo
Ngoja Tundu Lissu aendelee kuwapiga spana mpaka akili ziwakae sawaMk
Mkuu wa mkoa wa Geita, ndiye kinara namba moja wa kumdanganya JPM. Tunaomba mkuu wa mkoa amlete mh JPM huku vijiji vya Nyamikoma,Kamwanga na lwenge ajionee wananchi maisha wanayoishi Kama wakimbizi. Pia kumekuwa ni vijiji wanskoishi raia wa burundi kibao. Hakuna ya serikali Nyamikoma, Kamwanga na lwenge