Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli Mgombea wa CCM, Polepole anakudanganya

Huyo Ngwanjima atakuwa anataka kuhamisha makao makuu ya kanisa lake Dodoma kwa mgongo wa ubunge huyo anaweza kuwaacha wana kawe solemba.
 
Ngoja Tundu Lissu aendelee kuwapiga spana mpaka akili ziwakae sawa
 
Account yako imedukuliwa? Si ni majuzi tu hapa ulikuwa mataga?
 
Tumeyasikia ya uongo kutoka ccm miaka yote tangu Uhuru wa Bendera na bado umaskini, wizi, ubabe wa kijinga umekithiri. Sasa basi. Ccm iwe KANU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…